Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Huyu MWANAMIPASHO CCM wamemtoa wapi huyu? anasifia mambo ya barabara za lami,Shule,Mabwawa na soon watawekewa barabara ya lami Nzega-Tabora ndo anaona leo wakati ni BASIC NEEDS... Magamba wana KAZI...