mume wangu jamani

hujaona hapo juu?...Michelle ameshamaliza japo ana mambo mengi ila obama anampa tafu
Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!
 
Mhimili mkuu wa ndoa ni kujamihiana. Sasa njemba inaposhindwa ku do na maiwaif wake kisha inachomokea kwa hawara kutafuta pumziko hapo jamaa anakuwa hajafumbua tatizo zaidi ya kutafuta maradhi.Nashauri mke awe ngangari amwambie jamaa aache ukware wakae watafute suluhisho la kwa nini ngoma inalala doro.Njia nyingi za kumsaidia jamaa wengi wamezieleza kwenye hii thread na ikibidi kwa pamoja kama couple wafanyiwe counselling.Jogoo kukataa kuwika kwa wanaume ni jambo la kawaida kabisa na tiba ni ya kisaikolojia zaidi.
 

Nakupenda,nimekusoma na kujifunza mengi sana kutokana na posts zako.....nafurahi Mungu amejibu sala zetu mapema kabisa.....naamini utakuwa wa tofauti,mwenye nguvu na imani zaidi baada ya ushindi huu.....kila la kheri,ufurahie ndoa yako na katika gumu lolote,hili lizidi kukukumbusha Mungu yupo na hakupi jaribu kubwa kuliko uwezo wako na kuwa yote yanawezekana kwa wanaompenda na kumuheshimu.nimefurahi sana....Mungu awabariki sana na kuwazidishia furaha na amani!!!
 
Hongera sana kwa kufanikiwa unajua leo kidogo niku PM ili nikuulize feedback lakini nimefarijika sana kusikia tatizo limeisha. Ushauri wangu tu ni kwamba mweleze awe mwaminifu kwako kama ambavyo naamini wewe ndivyo ulivyo. Thans again.
 

Nashukuru sana na mimi nakupenda sana na nina furaha sana aisee yaani kwa kweli hata siamini nilishakata tamaa kabisa
 
Hongera sana kwa kufanikiwa unajua leo kidogo niku PM ili nikuulize feedback lakini nimefarijika sana kusikia tatizo limeisha. Ushauri wangu tu ni kwamba mweleze awe mwaminifu kwako kama ambavyo naamini wewe ndivyo ulivyo. Thans again.

Mu-sir ahsante sana kwa ushauri wako niliufanyia kazi,tushaelezana mengi kama ni wakuelewa tumeelewana kama si wakuelewa basi hatutaelewa tena
 

Ahsante Annony kwa kweli pale kanisani nilihudhulia sana tu naamini pia ni moja ya mafanikio, Mungu akubariki kuhusu herufi kubwa na ndogo ahsante kwa kunikumbusha nitakuwa makini zaidi kufatilia hilo
 

Poa ahsante nashukuru tatizo limeshaisha mambo yamekuwa shwari
 

Wewe ndio hujaelewa before mambo hayajaharibika ilikuwa naridhika sana na mume wangu, baada ya mambo ndio kukutana na hao watu ndio ikawa hivyo sasa hapo hakieleweki nini.una maanisha tangu kanioa akinigusa jogoo analala? soma kwa kina mkuu
 
Ahsante dear. Ila nakushauri endelea kuhudhuria ili Mungu azidishe ulinzi katika ndoa yako nawe pia ukuze imani yako kwa kulijua neno.
Siku zote nyumbani mwa Bwana ni pazuri kama nini!
Nakutakia baraka za Mungu pamoja na familia yako.
Stay blessed ma sister!
 
Hebu niambie ni vipi mwanamke anaweza kujiridhisha mwenyewe?kiukweli sijui ni vipi ila nadhani ungeweza tu ukaangalia ni wapi sio sawa kama zamani mambo yatakua fresh.
 
Hebu niambie ni vipi mwanamke anaweza kujiridhisha mwenyewe?kiukweli sijui ni vipi ila nadhani ungeweza tu ukaangalia ni wapi sio sawa kama zamani mambo yatakua fresh.

Anaweza ni kitu rahisi sana. nashukuru yameisha ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…