Mume wangu hataki kunipa chakula cha ndoa

Uchafu kwa wanawake wenye watoto ndo tatizo linafanya mtu usijisikie.....unamkuta demu ananuka maziwa...ndan kunanuka mikijo ya mtoto....
 
Toroka uje magetoni! Ila kesho kura kwa Lowassa....
 

huyo baba ni bubu kushindwa kuwa wazi?
au ndo mnaouita uanaume?
 

Haya mawazo yasipo msaidia aombe talaka hamna namna tena!
 
Miezi mitatu kwa mwenye mtoto hilo ni la kawaida.....

Wewe kaaa subiri kunasiku atafidia vya miezi sita...ataipiga mashine mpaka utaugua wiki nzima, atakuwa akikuomba mchezo unaogopa kutoa wewe subiri uchaguzi uishe aaapishwee then utatuletea mrejesho
 
Km haujawahi fanya hii kitu jaribu kufanya,,,,,,,nyonya koni,,,
 
Sio mageni shosti ulokua nayo,nna shoganu kazini mumewe alimuona wakati anajifungua hakumgusa miezi 6 kila akimsugelea jamaa anatapika mpaka wakawa wanagombana,sasa wewe yakwako ni mepesi sana jaribu kujiweza hali ya usafi sana na akikisha unampa time as much as you can akiwepo nyumbani na sms za we miss u kwa sana akiwa kazini....
 

Nipe iyo chans
 
Tatizo umezoea ngono ni kitandani na wakati wa kulala tu
 
Ndiyo maana mnakatazwa kuzini na uasherati.

Aliezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi.
 
mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?

Upo sawa kabisa...I really like that spirit. I wish wanaume wote wangekuwa na mawazo kama yako. Mkeo aende wapi kukamilisha mahitaji yake ya kimwili?!
 
mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?
Umri unakusumbua, wakati ukifika utajua kuwa mawazo yako na mwili huwa ni vitu viwili tofauti.
 



Karibu Kwangu Mamii, Nikupeleke Kwenye Sayari Moja Inaitwa Mahaba! Utamsahau, Kama Tunavyoisahau Ccm Leo!
 
nilikuoa kwa umbo lako dogo full kimodo,miaka 3 tu umefutuka,shapeles na nikikuambia mazoez hutaki..umenenepeana hadi nakuogopa ukiwa kitandani...nimerud kwenye original(vimodal)
 

miezi mitatu??hebu mkumbushe kuwa ni miezi 3 kama hajashtuka basi mshauri mwende hospital au akigoma ujue anachepuka
 
Anakula nje abashiba. Au baada ya kuzaa hujitunzi? Labda wanuka maziwa ya mtoto!! Pole!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…