nimeolewa miaka kadhaa, nimechitiwa kupita maelezo na mi mwenyewe hivi sasa ni cheater wa ukwee
habari ndo hiyo. ndo maana sisumbuki na kucheatiwa, its just part of the love game.
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
mh my dear, hata nisipozini, je unadhani nitauona ufalme wa mbinguni kama nitaenedelea kuvunja amri nyingine za God hata kama ya sita nitishika?
kwa mumgu dhambi ni dhambi, aliyezini na aliyetamani wote lao moja
acha hizo wewe, nani kakwambia binadamu unaweza mfanyia yote? acha uongo wako.
lo eti mume unamfanyia kila kitu, we thubutuuuuuuuuuuu
Dah! kwahiyo unagegedwa tuuuuuu, kisa ulicheatiwa?! dawa ya moto ni moto eeee. kwa raha zakoo.
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
...this is abuse..
Kama ww huwezi, pole yako na mumeo.
sigegedwi hata siku moja, ila huwa napata kitu roho inapenda. Ukisema kugegedwa, ina maana natumika wakati mie naenjoy tu tena kwa raha zangu. Sasa unataka nife kwa presha kumfuatilia mtu ambaye hata hivi sasa atakua gesti na mke wa mtu?
aka babu presha ya nini mie, wacha ale bata huko, na mie nile kivyangu. Ndo mana i told u, mimi nimefocus watoto, pesa, afya na good public relations. Sasa nyie endeleeni kusachi suruali za waume zenu na kupekua cmu zao.
mtu mzima mie
Haya endelea kuziniwa mtu mzima uliyeota mapembe. Cc watoto hatuzini hovyo. Kama mliokotana gesti cwezi kushangaa, bse kila mtu anarudi gesti. hahahahaaaaaaaa.
pole mamii, nakushauri kusanya vithibitisho vyote kuwa anacheat then ongea nae ukimpa hatua utakazochukuaa.
1) kama anakuhitaji kama mke aache.
2) mwambie utamshtaki kwa mtu ambe anamuheshimu mfano kaka ake, ustadhi au askofu aliyewafungisha ndoa.n.k.
3) ila ckushauri kuondoka huyo ni mume wako komaa nae hao wa nje wezi tu.
4) pia jichunguze kujua chanzo cha kuchet, ongeza mahanjumati, mtt jipambe, yaan zidisha mambo kunako 6*6.
Nikwambie cri...mm wangu alicheat ckuhizi nimejipanga vibaya..yaan nikimkamata kwa kitanda mpaka analia wakati hakuwahi b4.
hha ha ha ha mh kweli we mtoto sana.
naomba nikuulize kitu, huwa unampa tigo akitaka? je wewe ni bonge au portable? maana ukiwa either of the two atatoka kutafuta ambacho ur not.
mbona mengi hufanyi, je wewe una kelele au mkimya sana anu msafi sana? basi atatafuta aliye mchafu kidogo.
ha ha h a hujaijua bado hii love game
ha ha ha ha ha kweli watoto hamzini ovyo hata mie naona!
kweli ufalme wa mbinguni utakua mgumu kwa wengi.
sasa umesema uongo, shauri lako, kwaresma hii unadiriki kutoa ushahidi wa uongo?
kwa her bwana acha nikapate mvinyo somewhere.
ha ha ha eti ukimkamata atalia, utalia weye bidada.
hivi nilikuaga eh. TCHAO
hahahaaa, kumbe umekua umbo tu ila akili za kitoto sn,kutoka nje ya ndoa inawezekana ikawa nje ya hizo sababu ulizota. Je ww unatokanje ya ndoa bse mumeo anakitambi? ni foolish. je bse ni mkimya? au bse unamlipakisasi kwakuwa anatia nje? WW huridhiki na mwanaume 1 ndio maana unatoka nje.Sasa utakubaliana na mm kuwa mwanaume mzinifu ni wa mwanamke mzinifu bseumekiri hapo kuwa nyie woote wazinifu. So ngoma drooo hapo.
Kwa raha zangu mamiiiii.. mwanamke kujiamnini atii. Najiamnini mm ndio deepa. Pole ayanda unasubiri mpaka uwezeshwe..lini?
Poa poa, cdanganyi huo ndio ukweli... unajua y huamini? bse huo co utamaduni wako.
Dah! kwahiyo unagegedwa tuuuuuu, kisa ulicheatiwa?! dawa ya moto ni moto eeee. kwa raha zakoo.