"Mume wangu ana jinsia MBILI"

"Mume wangu ana jinsia MBILI"

Of course hemaphrodites wapo,ila hii story ni ya kutunga kama
 
nasikitika sana kuwa huyo mke ameshindwa kuficha hiyo siri as na yeye ndio pekee wa kumuona mumewe, ameniboa sana si angenyamaza tu hata kwenda kwa madaktari au popote wasipowajua kupata ushauri na kutokuja kwako.

unazani mumewe kamtuma kweli? mie naona yeye mke ndio kalazimisha waongee na wewe, angetaka ujue angekuambia tangu zamani au kabla hajaoa.

huyo mke anaona aibu ya nini angemuacha tu maana hii kitu itaweza kumfanya hata ajiue.

Sasa mie nakuomba uwasaidie uwatunzie siri yao hasa ya huyo kaka maana hii wewe na mkewe mkianza kuiongea nje mtamuaribia maisha, na uende ukaongee nao kuwaakikishia hilo. Kama umeoa jaribu hata kumficha mwenza, wanawake at times kuropoka kupo hata kisiri kwa ndugu zetu kwa haswa yasiyoyuhusu.

Ukae nao umuulize huyo mke kama hawezi fanyiwa operation na yeye yu mzima anaweza kumrizisha atachukua hatua gani? maana ndio inaweza hata mwaume akaaribika mambo yakienda vibaya. kama bado anataka ndoa wakapime kuwa anaweza zaa na iwe hivyo kama hataki aende zake mwanaume anaweza pata mwingine.

Ila mwanaume nae mmmh si angemuambia kabla ya ndoa...haya uko siendi.

naona wengi wanasema ya kutunga, kama ya kutunga oyaaa kuna wengi itawasaidia wakisoma humu, hii ni forum na kila mtu ana uhuru wa kuleta hoja yake/zao. ndio maana sio lazima mtu asome uzi na kuanza kuponda, soma na sepa zako.
 
Hakuna ukweli katika habari hii,

Usituone kama watoto wadogo hapa ndugu,

Mpaka tukaitwa GT maana yake tumevuka viwango vya media!

1) Katika mazingira ya leo Afrika, Amerika ya Kusini na Kaskazini, Ulaya Magharibi na Asia hakuna wanaopitia hatua ya upenzi, uchumba, na kisha ndoa bila kushiriki mapenzi (ngono) ama hata romance itakayowasababisha mziguse nyeti zenu hata kwamikono tu,

2)Hakuna siri duniani inayoshikwa na kutunzwa na watu watatu tu bila wanne na watano nk kumfikia!

Kuna sababu lukuki ambazo zinaitafsiri habari yako kuwa ni yauongo!

ulipoanza mwanzo nilijua una strong reason lakini kumbe hoja nyepesi kabisa
 
Wahi haraka hospitali ukafanyiwe operation, ningekuwa mtaalamu wa hayo maeneo ningekufanyia kwa gharama nafuu!!
 
Haaaa eew Dawa ya Jiko wakati hajakuoa jamaa hakukugegeda?!! Unaolewaje kabla ya kujaribu hiyo Size kama inakukaaa looooh
 
Nilitegemea jibu hili toka kwako...
Kukutwa ni kitu kingine na wewe kupaste hapa habari za watu ni jambo jingine...
Shemales wapo kwa kuwa hiyo ni abnomality wakati wa hatua za ukuaji wa kichanga...
Ila ninacho doubt ni authenticity ya taarifa yako...

inspector detective watu8
 
Last edited by a moderator:
Fantasy..Perceptions may slowly seem like reality. The writer thinks we are all like kids with such an odd story. I beg to differ with the truth and authenticity of the story ( I stand to be corrected though).

1.Kama jinsia moja ni superior - why the hell is the bother for operation?
2. Mke wa rafiki kakupigia simu uende haraka- Mhhh for such an internal story an umesema ameolewa miezi 2 imepita, so for the past 60 days alikuwa normal and after 2 month ndio anakupigia uende haraka? it would sound close to reality akikupigia in two weeks as she is still in shock?
3. Umeclaim the male organ is superior- How do we buy this? since the teller is a woman, what if there was a man involved akasema the female is superior? for you to conclude this, una uhakika gani ?
4.Eti mumewe amemuelekeza mkewe akuambie wewe kuwa ana two organs? Haingii akilini-Tatizo ni langu halafu nimwambie mke wangu amwambie rafiki yangu juu ya siri yangu kuu. Aisee unapendwa eeh

5.Looking at similar stories in the same range of join dates (May) Im starting to connect the dots, ila kumbuka hii ni JF ,people analyses further than your statements
Likeeeee! Kwa nn siri yake asmwambi docta, yeye ndo anaweza kumshauri kama ni opareshen au chochote cha kufanya kiutaalam, kuliko kumwambia huyu ambae ni mbeambea' yeye kakimbilia jf, watu bwana!
 
Haaaa eew Dawa ya Jiko wakati hajakuoa jamaa hakukugegeda?!! Unaolewaje kabla ya kujaribu hiyo Size kama inakukaaa looooh

......we Kijana nitake radhi tafadhali mi ni mwanaume lijali injini saba pu.mb.avu!
 
Nina wasiwasi na hii taarifa...watu wa literature watanielewa!!

of cooouz!
diction na characterisation havijakaa sawa mtani!
hata plot na yenyewe wala sio poa!
kimsingi hata kama ni synopsis hii waaala,
 
Nilitegemea jibu hili toka kwako...
Kukutwa ni kitu kingine na wewe kupaste hapa habari za watu ni jambo jingine...
Shemales wapo kwa kuwa hiyo ni abnomality wakati wa hatua za ukuaji wa kichanga...
Ila ninacho doubt ni authenticity ya taarifa yako...

mi naringaje sasa na wewe mtani wangu!
huu mwaka ni kukomaa naeo tu hawa wanaotuzeeshea veyboard vyetu!
 
mi naringaje sasa na wewe mtani wangu!
huu mwaka ni kukomaa naeo tu hawa wanaotuzeeshea veyboard vyetu!

Wino wa keyboard yangu nimeamua nikaumalizie kule Siasani...
Halafu pia nimegundua hawa wenye kuleta hizi habari ni members wenye ID zaidi ya moja.
 
Fantasy..Perceptions may
slowly seem like reality. The writer thinks we are all like kids with
such an odd story. I beg to differ with the truth and authenticity of
the story ( I stand to be corrected though).

1.Kama jinsia moja ni superior - why the hell is the bother for
operation?
2. Mke wa rafiki kakupigia simu uende haraka- Mhhh for such an internal
story an umesema ameolewa miezi 2 imepita, so for the past 60 days
alikuwa normal and after 2 month ndio anakupigia uende haraka? it would
sound close to reality akikupigia in two weeks as she is still in
shock?
3. Umeclaim the male organ is superior- How do we buy this? since the
teller is a woman, what if there was a man involved akasema the female
is superior? for you to conclude this, una uhakika gani ?
4.Eti mumewe amemuelekeza mkewe akuambie wewe kuwa ana two organs?
Haingii akilini-Tatizo ni langu halafu nimwambie mke wangu amwambie
rafiki yangu juu ya siri yangu kuu. Aisee unapendwa eeh

5.Looking at similar stories in the same range of join dates (May) Im
starting to connect the dots, ila kumbuka hii ni JF ,people analyses
further than your statements

uliwahi kuishi Uingereza mkuu?...
 
Mbona hizi habari ya shemale zinashika kasi sana hapa jamvini?kuna nini au research?

Usiulize babu pigia mstari, hizi ni research jamaa wanafanya wanatafuta data kwa staili hii, wasanukieni
 
Habari; nilipokea simu kutoka kwa shemeji yngu yani mke wa rafik angu ambae tangu aolewe ni miezi miwili imepita,alinitaka niende nyumbani kwake haraka kuna jambo muhimu linalogusa ndoa yake anataka kunieleza na nijue namna gani tutasaidiana kuliweka sawa.

nilishtuka sana lakin nikakomaa kibishi,naam nilipofika nyumbani kwake akupoteza mda akanipa mkasa mzima kua mumewe ana jinsia 2 ya kike na ya kiume (duuuuuh!!!) lakin ya kiume ndo iko active kiasi kuliko ya ile ya kike hvyo nimsaidie kwa njia yoyote ile hata kama inawezekana kufanya operation kwa gharama zozote zile mradi tu amkomboe mumewe kwan anampenda sna.

aliamua kuniambia mim sababu ndie nilie karibu sna na mumewe na hata hvyo mumewe ndie aliemuelekeza afanye hvyo,licha ya urafik pia mi ndo nilikua mshenga wake.

inasemekana tangu enzi za ujana wake hyo jamaa hakuna aliejua siri hii zaid ya wazaz wke{r.i.p} na hakuwa kabsa akijihusisha na wanawake mpaka alipoamua kuoa. naomben ushaur jins gan naweza msaidia rafik yngu na mkewe dharau weken kando.

We unafanya research, umewekas stori yako ya kizushi hapa ili na sisi tufunguke kuhusu tunayo yajua kuhusu watu wenye jinsia mbili..Ulitegemea kupata comments like " Yeah hata mimi namfahamu mtu mmoja anakaa sehemu fulani, huyo mtu ana jinsia mbili and blah blah blah!" Kama unahitaji data omba watu wakupe zikusaidie katika utafiti wako kuliko kuandika sick story like this ukitegemea watu watafunguka.. UMEWEKA HICHO KIPENGELE CHA WAZAZI WA HUYO MTU WAKO WAKUCHONGA WAMEKUFA, ILI TUAMINI STORI YAKO....JIPANGE TENA
 
Back
Top Bottom