.....nyakati za mwisho.
Hakuna ukweli katika habari hii,
Usituone kama watoto wadogo hapa ndugu,
Mpaka tukaitwa GT maana yake tumevuka viwango vya media!
1) Katika mazingira ya leo Afrika, Amerika ya Kusini na Kaskazini, Ulaya Magharibi na Asia hakuna wanaopitia hatua ya upenzi, uchumba, na kisha ndoa bila kushiriki mapenzi (ngono) ama hata romance itakayowasababisha mziguse nyeti zenu hata kwamikono tu,
2)Hakuna siri duniani inayoshikwa na kutunzwa na watu watatu tu bila wanne na watano nk kumfikia!
Kuna sababu lukuki ambazo zinaitafsiri habari yako kuwa ni yauongo!
Nina wasiwasi na hii taarifa...watu wa literature watanielewa!!
Nilitegemea jibu hili toka kwako...
Kukutwa ni kitu kingine na wewe kupaste hapa habari za watu ni jambo jingine...
Shemales wapo kwa kuwa hiyo ni abnomality wakati wa hatua za ukuaji wa kichanga...
Ila ninacho doubt ni authenticity ya taarifa yako...
Likeeeee! Kwa nn siri yake asmwambi docta, yeye ndo anaweza kumshauri kama ni opareshen au chochote cha kufanya kiutaalam, kuliko kumwambia huyu ambae ni mbeambea' yeye kakimbilia jf, watu bwana!Fantasy..Perceptions may slowly seem like reality. The writer thinks we are all like kids with such an odd story. I beg to differ with the truth and authenticity of the story ( I stand to be corrected though).
1.Kama jinsia moja ni superior - why the hell is the bother for operation?
2. Mke wa rafiki kakupigia simu uende haraka- Mhhh for such an internal story an umesema ameolewa miezi 2 imepita, so for the past 60 days alikuwa normal and after 2 month ndio anakupigia uende haraka? it would sound close to reality akikupigia in two weeks as she is still in shock?
3. Umeclaim the male organ is superior- How do we buy this? since the teller is a woman, what if there was a man involved akasema the female is superior? for you to conclude this, una uhakika gani ?
4.Eti mumewe amemuelekeza mkewe akuambie wewe kuwa ana two organs? Haingii akilini-Tatizo ni langu halafu nimwambie mke wangu amwambie rafiki yangu juu ya siri yangu kuu. Aisee unapendwa eeh
5.Looking at similar stories in the same range of join dates (May) Im starting to connect the dots, ila kumbuka hii ni JF ,people analyses further than your statements
Haaaa eew Dawa ya Jiko wakati hajakuoa jamaa hakukugegeda?!! Unaolewaje kabla ya kujaribu hiyo Size kama inakukaaa looooh
Nina wasiwasi na hii taarifa...watu wa literature watanielewa!!
Nilitegemea jibu hili toka kwako...
Kukutwa ni kitu kingine na wewe kupaste hapa habari za watu ni jambo jingine...
Shemales wapo kwa kuwa hiyo ni abnomality wakati wa hatua za ukuaji wa kichanga...
Ila ninacho doubt ni authenticity ya taarifa yako...
mi naringaje sasa na wewe mtani wangu!
huu mwaka ni kukomaa naeo tu hawa wanaotuzeeshea veyboard vyetu!
Fantasy..Perceptions may
slowly seem like reality. The writer thinks we are all like kids with
such an odd story. I beg to differ with the truth and authenticity of
the story ( I stand to be corrected though).
1.Kama jinsia moja ni superior - why the hell is the bother for
operation?
2. Mke wa rafiki kakupigia simu uende haraka- Mhhh for such an internal
story an umesema ameolewa miezi 2 imepita, so for the past 60 days
alikuwa normal and after 2 month ndio anakupigia uende haraka? it would
sound close to reality akikupigia in two weeks as she is still in
shock?
3. Umeclaim the male organ is superior- How do we buy this? since the
teller is a woman, what if there was a man involved akasema the female
is superior? for you to conclude this, una uhakika gani ?
4.Eti mumewe amemuelekeza mkewe akuambie wewe kuwa ana two organs?
Haingii akilini-Tatizo ni langu halafu nimwambie mke wangu amwambie
rafiki yangu juu ya siri yangu kuu. Aisee unapendwa eeh
5.Looking at similar stories in the same range of join dates (May) Im
starting to connect the dots, ila kumbuka hii ni JF ,people analyses
further than your statements
weka picha tuone.
......we Kijana nitake radhi tafadhali mi ni mwanaume lijali injini saba pu.mb.avu!
Mbona hizi habari ya shemale zinashika kasi sana hapa jamvini?kuna nini au research?
Habari; nilipokea simu kutoka kwa shemeji yngu yani mke wa rafik angu ambae tangu aolewe ni miezi miwili imepita,alinitaka niende nyumbani kwake haraka kuna jambo muhimu linalogusa ndoa yake anataka kunieleza na nijue namna gani tutasaidiana kuliweka sawa.
nilishtuka sana lakin nikakomaa kibishi,naam nilipofika nyumbani kwake akupoteza mda akanipa mkasa mzima kua mumewe ana jinsia 2 ya kike na ya kiume (duuuuuh!!!) lakin ya kiume ndo iko active kiasi kuliko ya ile ya kike hvyo nimsaidie kwa njia yoyote ile hata kama inawezekana kufanya operation kwa gharama zozote zile mradi tu amkomboe mumewe kwan anampenda sna.
aliamua kuniambia mim sababu ndie nilie karibu sna na mumewe na hata hvyo mumewe ndie aliemuelekeza afanye hvyo,licha ya urafik pia mi ndo nilikua mshenga wake.
inasemekana tangu enzi za ujana wake hyo jamaa hakuna aliejua siri hii zaid ya wazaz wke{r.i.p} na hakuwa kabsa akijihusisha na wanawake mpaka alipoamua kuoa. naomben ushaur jins gan naweza msaidia rafik yngu na mkewe dharau weken kando.