Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Wewe ni KE au ME??? tuanzie hapa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeshindwa kupata hata kibarua ya kuuza duka la dawa la muhimu la binadamu au unachagua mshahara mkubwa
 
Katiba Mpya sijui kama itakuja kwa akili hizi
 
Kijana tafuta chako. Msaada sio haki yako. Usiwachukie watu kisa hawajakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…