Wanaume muwe wakweli, kama umeoa be honest sio kudanganya mtu anaingia kwenye relation ana expectations za kutosha kumbe unampotezea muda tu tayari una familia. Badilikeni kwa hili, ndo ujumbe aliotaka kuufikisha huyu dada. Wanaume wengi wanaongozwa na tamaa, kama bado una macho juu juu usikimbilie kuoa, baadaye uanze kulaghai wengine.