mume wa mtu

mume wa mtu

Mmm mbona kama na wewe pia unaumiza kichwa hapo,usikubali shauri yako mwenzio kashindwa kwa nini na wewe uweze unanini? ebu tulia na ulie nae mwenzangu...
 
Chezea sitaki nataka eeh!!!
sa kama mtu humtaki kwanini akupe headache? kwanini usikate mawasiliano? kwanini uumize kichwa kutafuta majibu ya kumpa?

hahahaha mbona mimi hujanikatia...!! chezea jiwe la mwadui wewe....
 
Nahisi kama unatafuta justification, au unataka tukupe majibu gani mengine.....Na usipokuwa makini utaliwa kwa kumhurumia kwani ameshateka hiyo akili na danganya toto zake. If you mean no never come across yes.
 
Yan mda ulowaza kuandika hii sredi ndo ungewaza jibu la kumpa huyo fataki..nukta
 
ha ha ha ha ha ha ..wonders shall never end in jf..lolz
Yaani hata maneno ya kumwambia mtu kuwa humtaki huna!
The easiest thing for you is 'if you cant fight him join him'......

hii nimeipenda best angu!
 
kuna kaka mmoja ni rafiki yangu na ana mpenzi wake lakin kwa muda kidogo wamekua kama hawaelewani na wanaishi nyumba moja hawajaoana asa kaka ananitaka mim niwe mpenzi wake akimaanisha kashoshwa na kutoelewana na mpenzi wake nimejitahidi mwelewesha kwamba sitaweza kua nae kwasababu nami ninampenzi wangu hanielewi labda nimjibu nin anielewe?mana amekua msumbufu kwangu


mshitaki kwa mpenzi wako kama humtaki seriously...............
 
juna kiranga
mwanamme mmoja kuwezi kumwambia 'hutaki' hadi uje hapa?
 
Kukubudhi maana yake ulimkaribisha katika mawasiliano. Inaonyesha usivyo na msimamo.Mpaka unashorokisha jf unashindwa kumshirikisha mpenzi wako?????????Swali, ungekubali ungetushirikisha?

TULIZANA
 
mbona km unataka kuwa nae ila upo dilema?
...nway,ushauri wangu,piga kimya ataacha kukusumbua
 
Mi naona hujamkataa moja kwa moja ndomaana unataka ushauri hapa.
 
Ukimkubalia, akikuzingua, hutakuwa na pa kwenda, kwani inawezekana akaelewana na huyo mpenzi wake na wakarudiana. Mambo ya mapenzi ni mazito dada. Achana kabisa na huyo mume wa mtu, kama ilivyo kwa wake za watu ambao ni sumu pia!
 
du!!!! jf nouma!!

Washaleta issue ya mshkaji humu kuiuza!!

yaani ukifanya so lolote kimbilia hapa utaikuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom