Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
bahaticaro SOUNDS FAMILIAR!
Kwa kuwa anakutishia mwache kimyakimya, hatua kwa hatua. Usimpe tena keki, punguza mawasiliano ya simu na pia ya kukutana ana kwa ana. Akikuuliza mbona hivi? Sema poa tu hakuna lolote. Mbona hujibu msg? Niko bize. Tukutane .... Sema sawa lakini usiende. Zima simu. Mbona hukuja na simu ulizima? Nilipata safari ya ghafla, samahani halafu simu nilisahau nyumbani au iliisha chaji. Fanya tu vitimbi hadi akate tamaa. Usimwache gafla.
red- So my dear in other words you are not matured enough to make firm decisions?
Hata nyepesi kiasi hiki? Sasa kwa nini usisubiri ukue ndo uingie kwenye mahusiano?
green - Really inakuuma? Just wait ukae upande wa huyo dada ndo utajua maana halisi ya maneno hayo. U should've walked away the minute you realised that. Wadada kama nyie ndo mnapenda sana kupangishwa foleni...
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?
huyu dem mwenyewe anampenda msela..anatuzuga tu,.
Pole shost,lakini mbona kwa maelezo yako inaonyesha wazi unafurahia yanao mkuta mwenzio? kwanza jamaa muongo,kama mie ningesha malizana nae zamani sana,anakutisha inamaana anakubaka humpi Chali kwa ridha yako?
ebu shosti jikaze kike na kama mwanamke kweli tafuta wako peke yako huto furahi ukijakusikia mumeo anamwanamke mwengine njee,sasa basi kabla hujafanyiwa hayo acha kumfanyia mwezio......
hivi wewe unaona raha sana mwenzako anavyoteswa?dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?
hivi wewe unaona raha sana mwenzako anavyoteswa?
na bado unatamka ati unajifanya kusikia huruma
hujui kuwa hiyo ni laana unajitengenezea ktk maisha yako kwa kuwatesa wasio na hatia?