Mume wa mtu nomaah!

duh, hili ni bonge la namna ya kumwaga mtu!!!!! i like it!!!!!!
Kwa kuwa anakutishia mwache kimyakimya, hatua kwa hatua. Usimpe tena keki, punguza mawasiliano ya simu na pia ya kukutana ana kwa ana. Akikuuliza mbona hivi? Sema poa tu hakuna lolote. Mbona hujibu msg? Niko bize. Tukutane .... Sema sawa lakini usiende. Zima simu. Mbona hukuja na simu ulizima? Nilipata safari ya ghafla, samahani halafu simu nilisahau nyumbani au iliisha chaji. Fanya tu vitimbi hadi akate tamaa. Usimwache gafla.
 
nimeipanda hii !
red- So my dear in other words you are not matured enough to make firm decisions?
Hata nyepesi kiasi hiki? Sasa kwa nini usisubiri ukue ndo uingie kwenye mahusiano?

green - Really inakuuma? Just wait ukae upande wa huyo dada ndo utajua maana halisi ya maneno hayo. U should've walked away the minute you realised that. Wadada kama nyie ndo mnapenda sana kupangishwa foleni...
 
Huyo bwana atakuja kukuaibisha wewe trust me kama aliweza msemea vibaya wmoyo wake wewe ni nani chukua ustaarabu wako kata mawasiliano unajitia kwenye matatizo bureeee.anataka kukutumia tu iko siku atakukana nakukutukana/
 
Huyo jibaba anatishia nyau tu kwani anataka kuendelea kukutumia, make decision otherwise utatumika ukija kustuka ni jioni umezalishwa na kuzeeka mwenzio anaendea na mkewe. Haya kala ka bhao
 
Kichwa cha habari na maelezo yako tofauti,samahani naomba nitumie hili neno japO si zuri unajinafkisha.kama ni noma mbona hujamwacha?kama unaona huruma anateseka unasubiri nini?huu wote unafiki unampenda na unajua ana mke..kama unaamini anayokueleza mwambie bas awakutanishe ana kwa ana akutambulishe wewe ndio mke atakayekuoa/HII UNAIONAJE?
 
Kuna raha yake kuzaliwa mwanaume aisee!

Mkuu Boss alishawahi leta hii kauli 'you may never know about women'
 
poleeee bora tu hujazalishwa wala mimba haijanasa wahi angaza utafute wasize yako mwenye mke na mtoto atakuwa kakuzidi sana umri japo umri ni namba tu-wasemavyo wadhungu lol
 
Hivi kumbe kuna baadhi ya Wanawake sehemu yenu ya ubongo ile ya kugundua kama unadanganywa live huwa inakufa mapema enh?
 
Anacheza na akili yako huyoooo, kataa kuwa mtumwa wa mapenzi kwa kutishiwa, kama kweli anakutishia vituo vya Police huvijui kumriport? achana na huyo mtu mwisho wake utakuwa mbaya....:rant:
 
Sasa wewe si unaogopa kutishiwa?Subiri uchanwe viwembe na kumwagiwa maji ya moto!
 
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?

Thanks to God that you have come to your senses na kugundua kuwa unamsabishia mwanamke mwezako visa toka kwa mumewe.
Then ni kitu ambacho ni kigumu saaaaaana, kuishi na jinsia tofauti ktk rum moja then useme hakuna kinachoendelea?.............. tena mtu ulishazaa nae I mean mzazi mwenzako?

Ushauri: Mpaka hatua hii umeshatendwa, so take time kuikubali hiyo hali. naamini katika utulivu huo na pia ukimshirikisha Mungu, basi utapata atakaye utuliza mtima wako.
 
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?

Thanks to God that you have come to your senses na kugundua kuwa unamsabishia mwanamke mwezako visa toka kwa mumewe.
Then ni kitu ambacho ni kigumu saaaaaana, kuishi na jinsia tofauti ktk rum moja then useme hakuna kinachoendelea?.............. tena mtu ulishazaa nae I mean mzazi mwenzako?

Ushauri: Mpaka hatua hii umeshatendwa, so take time kuikubali hiyo hali. naamini katika utulivu huo na pia ukimshirikisha Mungu, basi utapata atakaye utuliza mtima wako.
 
Lol, hiyo kali; ANAKUTISHA???
We sema kama unampenda wala usifiche.
Hao ndo wanawake ndomana MWANAUME aliumbwa awe MCHUNGA wa MWANAMKE.
 
Pole shost,lakini mbona kwa maelezo yako inaonyesha wazi unafurahia yanao mkuta mwenzio? kwanza jamaa muongo,kama mie ningesha malizana nae zamani sana,anakutisha inamaana anakubaka humpi Chali kwa ridha yako?
ebu shosti jikaze kike na kama mwanamke kweli tafuta wako peke yako huto furahi ukijakusikia mumeo anamwanamke mwengine njee,sasa basi kabla hujafanyiwa hayo acha kumfanyia mwezio......


hawapo hao....
 
dah! inaniuma sana nilipata boyfriend na nikampenda sana kumbe ana mke na mtoto mara ya kwanza aliniambia kuwa ana mtoto ila haishi na huyu aliyezaa naye nikamuuliza sababu akasema kuwa huyo mwanamke alimdharau na pia hakutaka kumuoa alikuwa anataka mtoto tu.. baada ya muda nikagundua kuwa dada aliyezaa naye anampenda na kuna muda anaenda kwake juz kati tena huyu boyfriend ananiambia et baba yake mzaz huyu boyfriend kamleta huyo dada aishi kwake kwa kumlazimish mim nikamwambia ni vizuri bas tuachane ili yeye aishi vizuri na mke wake et ananiambia kuwa anaish naye nyumba moja ila hamna communication yoyote na huyo dada na kila mtu analala kwake.....inaniuma kwasababu mimi ndiyo ninaye sababisha huyo dada kufanyiwa vituko na nikimwambia tuachane ananitishia.naombeni ushauri jaman nifanyeje?
hivi wewe unaona raha sana mwenzako anavyoteswa?
na bado unatamka ati unajifanya kusikia huruma
hujui kuwa hiyo ni laana unajitengenezea ktk maisha yako kwa kuwatesa wasio na hatia?
 
Mnafanya uzembe shuleni, mnapata "O" halafu mnang'ang'ania wanaume !!!! Kama umetishishiwa umetoa taarifa Polisi Post ipi ? Haya, subiri na wewe upewe mimba ili ufanane na mke wake, hapo itakuwa rahisi kwake kukuacha na kutafuta mwingine binti asiyekuwa na mtoto.
 
hivi wewe unaona raha sana mwenzako anavyoteswa?
na bado unatamka ati unajifanya kusikia huruma
hujui kuwa hiyo ni laana unajitengenezea ktk maisha yako kwa kuwatesa wasio na hatia?

Inakuwa kama laana vile, binti akishaanza mambo ya mahusiano na waume za watu ni vigumu kuolewa !!!
 
Back
Top Bottom