Na hapo ndo utajua kuwa mfumo wa mke mmoja hata wanawake wenyewe hawautaki wanataka kuwa wawili au watatu kwa mwanaume mmoja,kama mwanamke unajua kuwa huyu mwanaume ana mke bado unasema mtamu huoni huo utamu ameupata kwa mwanamke mwenzio? maana mwanaume huyo huyo kabla hajaoa si mtamu na akishaoa ni mtamu
Halafu wanaponishangaza ni hapa ameshajua una mke maana yake yeye ameridhia kuwa wa pembeni sasa kitendo cha kulazimisha kuwa na wewe muda wote wakati anajua unafamilia ni sawa na kulazimisha ucheze dk 90 wakat umewekwa kama reserve