Mume wa mtu ananitesa

dada yang kusema kweli wewe huna hof ya mung coz kumtamn mume wa mt ilibak ww n mke wa mt ni dhamb katubu halaf cna uhakika kam ulimtumia picha za uchi hebu tuma na huku tuhakikishe bac
 
Hugo ni mungu Baali nk, siyo MUNGU huyu tunayemuabudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kachepuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuuliza nani? Ona moyo unavyoteseka. ...
Olewa wewe kuna Maisha baada ya ujana. ...
Kuna umri utafika idadi ya wanaume wanaovutiwa na wewe itapungua. ...
Itafika hatua wiki inapita au hata mwezi unaisha hupat hata mwanaume wa kukupa hai....
Usiku utafika utataman pawepo na mtu wa kukunong'oneza Lakn utaishia kukumbatia mito tu.....
Hapo ndipo utaanza kuhangaika kutwa kwa waganga na kuhonga vitoto vidogo. ....
Lililopangwa na mungu halitapanguliwa na kukawa salama. .....

Tena nakushauri bora uzae hata watoto watakuja kukuliwaza
 
sasa ndio nini tena kuyaleta huku S mbona unataka kunialibia tena ndoa yangu?...nimeshakueleza vyakutosha
 
jitahidi umpe mzigo huyo jamaa ili ujiridhishe kuwa ni mtamu kama unavyofikiri au vipi vinginevyo utaendelea kuteseka na moyo wako bure
 
Ukweli huchomoki lazima atakucharaza tu hata akitaka umzalie mtoto ukiwa kwa mmeo sidhani kama utachomoka. Kumaliza kiu yako mpe tu uache kuutesa mwili wako usije kufa na presha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…