Mume wa mtu ananitatiza

Mume wa mtu ananitatiza

Huo uandishi ilibidi nijikaze tu nimalize hiyo stori.

Ngoja bibi yetu apite hapa na lile tusi lake pendwa!!!
 
tafuta mwanamke yeyote ambaye ameshawahi kuambiwa kuna hana K tamu.. mnaambiwa hivyo ili muongeze mauno
 
Hebu muweke ktk list ya makonda atueleze hizo pesa anazitoa wapi?
 
wala sihitaji.....nakuonea huruma unavyotumiwa......kiburudisho......jitahidi utafute shughuli ya kukuingizia kipato ujenge maisha yako.......ukahaba hauna ishu siku hizi....tulia na mpenzi wako,,,, ridhika na kipato chake.....ni ushauri tuu...
this is so common,if you have something else to advice please
 
ananisifia nna kyuma tam,navutia plus(ila hajawahi kusema ananipenda)

hela ananipa ila msg anachagua za kujibu,hua hatuchat labda kama tunataka kumeet(tho nataman niwe nachat nae sana),

hayuko romantic hata tukiwa ote haongelei mapenzi its like hana interest na mm ila kwenye kunjunju anahakikisha naenjoy.

najua ana mke ila nmeanza kufall na ni my frst mchepuko ila s.times kuna vitu anafanya simuelewi.

kuna siku aliniuliza kitu ili kumjibu ilitakiwa "nifukue kaburi"(past rtnshp) mara gafla akakataa akasema niache,akat ye ndo kauliza.

siku ingne nkikataa kupokea ela zake anamind and unamuona sura imechange,

siku ingne tena kanikuta naongea na mchumba wangu kwenye simu akasusa(japo hakusema ile simu ndio sababu ila alijifanya he has s.thing else to do,akaondoka).

hatujawahi kugombana.

wanaume wenye michepuko mkifanya hivi mnamaanisha nini?

natamani kumuelewa zaidi,

wengi mtasema niachane nae ila ndo ananitimizia mahitaji yangu mengi sana.
umesemaje?? mwambie akuoe uwe mke wa pili
 
Kipindi cha nyuma kidogo kuna baadhi ya maneno ilikuwa ni ngum sana kuyaandika au kuyatamka lakini siku hizi hata jinsia ya kike wanayatamka. Tunakokwenda ni kubaya zaidi
 
Kipindi cha nyuma kidogo kuna baadhi ya maneno ilikuwa ni ngum sana kuyaandika au kuyatamka lakini siku hizi hata jinsia ya kike wanayatamka. Tunakokwenda ni kubaya zaidi
Unaitwa utandawazi ila naona ni kama ubumbuwazi
 
nenda uwanja wa fisi utakutana na wauzaji wenzio mpeane uzoefu
 
Aliesema wanawake akili zenu mnazielewa wenyewe alikua sahihi kabisa.
 
Hii style ya kufungua new ID na kutuletea story za chumbani, imeshamiri sana

  • Kuna mwingine jana alikuja na ubikira wake, akatuwekea uzi, anataka kutolewa bikira yake humu JF
  • Leo tena wewe unatujaza nyege mchana mchana hapa...
  • Halafu yule mwingine nae new member sijui yupo wapi siku hizi, huwa ana avatar, ya hips kubwa na kitovu nje nje, naona anavuta kasi ya kuja tena...!
 
Hiyo kyuma tamu .tunaweza na sisi kuonja kidogo taste yake ili tujilizishe ..
 
Back
Top Bottom