Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".
Mke ananyamaza kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".
MKE: "Sidiria yetu".