Mume Mwema Anapatikanaje?

wee Kaka Jambazi utafungwa ujue! 2natumika wap viwandani au? Na watumiaji ni akina nani kama siyo nyie akina Kaka? Je unakipimio cha kumpima aliye2mika? Aaah bana wee! Em zama tena uibuke!

Aliyekuoa ka alikukuta bila bikra ujue ulishatumika, ndo mana mkawekewa bikra na pia send off mnafanyiwa ninyi.
 

Unfortunately, I am NEITHER inclusive in the CCed list, NOR your rafiki. Hence, ngoja tuwaachie walengwa. Otherwise I just aknolewdge seeing of the topic.
 

Jaribu kwenda disco club unaweza ukampata huko labda
 
Last edited by a moderator:
Mumemwema ? ? Wanawake wema hakuna sikuhizi ni kugegeda na kusepa tuu
 
Best naona ujaelewa vyema somo hapo juu, nilikuwa najaribu kuesema kuwa kwanini vitabu vingi vya kidini vinazungumzia KUMPATA MKE MWEMA NA SIO MUME MWEMA, yani nimejaribu kusoma kila aina ya vitabu vya dini sijaona sehemu pameandikwa MUME MWEMA, ina maana wanaume hawana sehemu yao katika vifungu, nidadavulie vyema best?
 
sijakuacha beibe ila ni vituko vyako tu vinavyosababisha kukosa raha jaribu kuondokana navyo itakuwa vyema,

naomba nidadavulie hilo soomo hapo juu nimesoma sana vitabu vya imani ivinavyoelezea kuhusu mambo ya ndoa hasa kumpata yule aliye mwema kila kifungu kwenye mithali inasema KUMPATA MKE MWEMA, AU NANI AWEZAJE KUWA NA MKE MWEMA NA SIO MUME MWEMA sasa mm nimekofyuzika hapo ina maana hakuna kifungu kinachoelezea mume mwema? sasa siisi tuombeje?
Ndiye mimi sema ukaniacha!!!
 
yaani hapo sasa umenena mwana nashukuru kwa kunimaanishisha na kunielewesha ila bado hujaingia sana katika vifungu vya neno la Mungu kwanini hakuna kifungu ambacho kinaelezea KUMPATA MUME MWEMA vingi vinasema kumpata mke mwema why? nidadavulie kidogo best
 
asante sana rafiki umenielewesha vyema nashukuru sana kwani mm vifungu hivyo vilikuwa vinanitatiza sana siku nyingi na nilikuwa sielewi ndo mana nikaomba nidadavuliwe hapa shukrani bestito
 
Swali lako ni gumu na "complex" kidogo kwa sababu kwa maoni yangu lina-cover sio tu psychology lakini hata spiritual matters.Majibu yangu ntayagawa katika maeneo ya kiroho na ya kisaikologia kama ifuatavyo:
1;SIFA UNAZO?:Ili kumpata mume/mchumba mwema....jiulize "wewe ni mwema?' na unadhani mume mwema ana vigezo gani?wewe unavyo?Kwa sababu utaidanganya nafsi yako bure kama umeweka viwango ambavyo hata wewe huna!Kumbuka ndege waliofanana huruka pamoja.
2;UMRI:Mwanaume kijana mwenye umri kati ya miaka 32-35 mpaka 40 ni mwenye uzoefu na mambo mengi na anaweza kuhimili misukosuko ya ndoa na maisha.Kwa lugha nyingine huu ni umri ambao mwanaume anajua vipaumbele vyake na nini anatakiwa afanye na ni kwa wakati gani!Huu ni wakati ambao hata kama alikuwa ni mwenda disco sana basi anweza kupunguza na kuacha kabisa na kuwa tayari katika maisha ya ndoa...tofauti kabisa na kijana wa miaka 25,28 nk.
3;ELIMU:Dunia imebadilika na ina changamoto nyingi sana.Ni muhimu kwa mume unayemtaka awe na elimu angalau ya advance diploma/bachelor degree.Hili litasaidia sii katika changamoto za kifedha hata katika malezi ya watoto na mahusiano yenu.Lakini elimu pia inasaidia hata uelewa wa mambo complex kama ya kiimani na kupunguza uhafidhina(unoko usio wa lazima).
4;NGUVU YA MAOMBI:Prayers are very powerful tools.Funga na kusali kwa imani utafanikiwa tu.Biblia ilishasema "Mke mwema hutoka kwa bwana"LIKEWISE mume mwema hutoka huko huko kwa bwana.Sio rahisi kuanza kumtafuta tu mume/mke mwema...na ukampata ni vizuri kumtanguliza Mungu ktk hili.
 

Hello Kwanza salaam nyingi zikufikieni Members wa hii forum na pia hongera kwa Dada LadyFurahia kwa kuwa na fikra tunduizi ambazo wasichana wengi wamezikosa na kuishia pabaya,HONGERA SANA! Back to the Topic: Kwakuwa wewe ni msomaji sana wa maandiko matakatifu ya kiimani basi sina budi kuamini kuwa unamwamini Mungu kwa uzuri. Kwa mpango wa Mungu na kwa "asili" Mwanaume kwa maamuzi yake ndiye mwenye jukumu la kutafuta mke wa kuishi naye kwa kuwa yeye ndiye KICHWA NA MTAWALA WA MWANAMKE KATIKA SIKU ZAKE ZOTE ZA UBATILI! Na kumbuka mambo yamekuwa yakienda vyema sana pale mwanamke anapokubali cheo chake cha kuchaguliwa na mwanaume na yeye akaridhika na kumtii mwanaume aliyemchagua. Chunguza vizuri dada utagundua ndoa zote za kabla ya kuwapo na huu UPUUZI wa haki sawa kwa jinsia zote uliohalalishwa huko beijing, ni imara na hazitetereki kwa kiasi kikubwa, tofauti na ndoa zile zilizotokea baada ya Mkutano wa Beijing.Hii ni kwa sababu mkutano ule wa KIPAGANI ulivunja kanuni asilia zinazoongoza utulivu na ustawi wa Wanadamu na kuasi kwa makusudi makusudi na maagizo ya Mungu kwa wanadamu. Mkutano huu ulihalalisha mwanamke kumtongoza mwanaume na kumtakia wazi "Nakupenda" ilhali ki asili hii si sawa!! Kiasili Mwanaume ndiye anayepaswa kumpenda Mwanamke na Mwamke anapaswa kumtii Mumewe au kuridhika na upendo ule aliopendwa nao na Mumewe! Chunguza ndoa ambazo mke ndiye aliyempenda mumewe na kuwa wa kwanza kumuomba uhusiano uone zinakuwaje muda mfupi baadae! Kwa kuhitimisha basi ni Maoni yangu kwako kuwa, kwanza acha ASILI itawale mahusiano ya kindoa na kisha MRIDHIE MWANAUME ALIYEKUPENDA YEYE ( Na sio uliyempenda wewe au unayemlazimisha akupende) Hapo utakuwa UMEMPATA MUME MWEMA KABISA.Kinyume chake ni kudinywa na kuachwa ukifuta machozi yasiyo na faida.C U!
 
Nimeipendaje hii comment yako kweli imenifanya nijue kuwa kuwa kunawatu wanaowatakia wenzao yaliyo mema sana nimefurahishwa sana na mawazo yako mazuri uliyonipa hapa , na vilevile umenielewesha vyema na nami nimekuelewa sana yaani sina cha kuongea hapa asante sana NA Mungu akubariki
 
huwezi kumpata mwanaume aliekamilika kila idara, ukimpata njoo nkupunguzie robo ya utajiri wangu
 
ukitaka mume mwema acha kufanya uchumba wa surprise, mi nilichumbia mke wangu au niseme tulikua marafiki kwa zaidi ya miaka saba, we enjoy it now ( sisemi kuwa hakuna ups and downs zipo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…