Hawa si marafiki wala ndugu, bali ni maadui wakubwa. Unapo chagua wa kuoa/kuolewa, unachagua mtu mtakaye kosana naye maishani. Wengi wa walio katika ndoa wanajuta, na wanatamani kutoka, wakati walio nje ya ndoa wanatamani kuingia. Hili ni fumbo la imani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.