WE Tuko, ndoa hizi zilivyo tamu akiachika arudi wapi
Nani kakuambia sijaoa? Na kwa nini unadhani nachelewa? Unanijua wewe?
nimejibu kulingana na maelezo yako wala sina haja ya kukufahamu
kuna raha zaidi kuliko karaha.....Poleni mlioko kwenye ndoa!
Huyo mwanaume tabia yake ni hiyohiyo hata kama anekuwa hajaoa so ndoa isionekane ni mkosi hakuna kitu inanipa raha na furaha kama ndoa!unakuwa na mtu anakuona kama baba wewe ndo kila kitu halafu na wewe unampenda kuliko hata nafsi yako.....hongereni sana wana ndoa wenzagu.....si vizuri mtu aishi peke yake nitamtafutia msaidizi wa kufanana naye.