Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Morning MMU,
Naombeni mawazo yenu kuhusu binamu yangu, kaolewa 6 yrs iliyopita,
Hapo wanzo 2 yrs , shem alikua mkarimu , ana mapenzi na ndugu, anshiriki kwenyeshida na raha, after some time akabadika cjui ni ubize, ikitokea ishu ya mkusanyiko, anshiriki mkewe peke yake, mkewe anamwambika kaniwakilishe asi hadi misibani anaka kuwailishwa, hali imekua mbaya now, sasa hataki mkewe atoke tena, iktokea ni msba basi awe blood sis or bro ndo aruhusu na akisafiri hata kuzika basi ageuze kesho yake mapema,vinginevyo anaambiwa abaki hukohuko.
Majuz ulitokea msiba wa mtoto wa babaake mkubwa mwanza, basi akagomewa kwend mbaya zaid mkewe akaomba kaka yake amuombee ruhusa mmewe katoa maneno machafu eti mbali mkewe hawez kwenda.
Bi dada kafosi kaenda, msbani wamumuwekea kikao abaki na mumewe asiwashirikishe kwa lolote na wao hawatamsumbua.Kurudi mume kamwambia last warning akienda tena atachagua.
Hakuna msaada wowote toka ka wake, mama mkwe kamwambia umeolewa mskilize mume, tumshauri jamani
Naombeni mawazo yenu kuhusu binamu yangu, kaolewa 6 yrs iliyopita,
Hapo wanzo 2 yrs , shem alikua mkarimu , ana mapenzi na ndugu, anshiriki kwenyeshida na raha, after some time akabadika cjui ni ubize, ikitokea ishu ya mkusanyiko, anshiriki mkewe peke yake, mkewe anamwambika kaniwakilishe asi hadi misibani anaka kuwailishwa, hali imekua mbaya now, sasa hataki mkewe atoke tena, iktokea ni msba basi awe blood sis or bro ndo aruhusu na akisafiri hata kuzika basi ageuze kesho yake mapema,vinginevyo anaambiwa abaki hukohuko.
Majuz ulitokea msiba wa mtoto wa babaake mkubwa mwanza, basi akagomewa kwend mbaya zaid mkewe akaomba kaka yake amuombee ruhusa mmewe katoa maneno machafu eti mbali mkewe hawez kwenda.
Bi dada kafosi kaenda, msbani wamumuwekea kikao abaki na mumewe asiwashirikishe kwa lolote na wao hawatamsumbua.Kurudi mume kamwambia last warning akienda tena atachagua.
Hakuna msaada wowote toka ka wake, mama mkwe kamwambia umeolewa mskilize mume, tumshauri jamani