Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Hapo sasa! Mie pia sioni shida kutandika kitanda!kutandika kitanda hakuna ubaya wowote ila sema watanzania tulishakariri kuwa kutandika kitanda ni mwanamke
Hapo sasa! Mie pia sioni shida kutandika kitanda!kutandika kitanda hakuna ubaya wowote ila sema watanzania tulishakariri kuwa kutandika kitanda ni mwanamke
kawaida sana ila ukishatandika wife lazima ajifanye kurekebisha kidogo sijui hawatuaminiSiku moja tulikuwa tukijadiliana na mama mmoja (mke wa mtu), mfanyakazi mwenzangu, masuala ya jamii na alishangazwa kusikia jamaa yetu mmoja akisema yeye huwa akitandika kitanda takriban siku zote anapoamka wa mwisho. Je wana JF wenzangu hii mnaonaje?