Ni heshima ya kiwango cha juu kwa kumudu majukumuWadau,
Hasa mlio katika ndoa, Je hili jambo la baadhi ya wanawake kuwaita wame zao baba je ni heshima iliyotukuka au ni uoga?
!
To each their own. Mama watoto anaita baby na mimi baby. Siku nikisikia jina langu limetajwa najua kishanuka tayari.Inarusha stimu. Natumia jina lake na mm napenda kusikia akitamka jina langu. Hata baba nanihii na mama nanihii.... boooring!
Kinyume chake hada wewe unamiita Mama ..yaani heshima ya juu sawa na unayompa baba au mama yako.Wadau,
Hasa mlio katika ndoa, Je hili jambo la baadhi ya wanawake kuwaita wame zao baba je ni heshima iliyotukuka au ni uoga?
HeheheTo each their own. Mama watoto anaita baby na mimi baby. Siku nikisikia jina langu limetajwa najua kishanuka tayari.
. Kuitana kwa endearments ni nzuri pia, baby, luv and so forth na kutumia majina yenu keeps the relationship fresh, yaani kama ilivyokuwa mwanzoni. I know i love to hear him say my name, but then that's just me!Haaaaaaaaaaa hiv kwa nn?? Saa ya kikinuk majin matumu hufutika gaflaTo each their own. Mama watoto anaita baby na mimi baby. Siku nikisikia jina langu limetajwa najua kishanuka tayari.