mwangahikaji
Member
- May 14, 2013
- 98
- 35
- Thread starter
- #21
ni mwaka sasa tangu kufa kwa baba yangu
Mkuu umetiririka sana hapa
sikuweza kurudi tena
nyumbani kwa kosalile maana mama bado alilkuwa na machungu kwanini
nimefanya tukio kama lile ndani ya nyumba yake na kumdhalilisha kwa
kumpiga mumew. Niliamua kwenda kwa watu ambao hapo mwanzo walikuwa
marafiki wa baba yangu na kuwaeleza maktukio yalio nikuta katika mkasa
wa kumpiga mume wa mama yangu na kuwaomba msaada walau wa kukaa ili
nimalizie elimu yangu walikubali lakini kwa mashariti ambayo yalifanya
ni ishi kama mtoto wa mitaani kwa kuwa nili kuwa na kwenda shule uku
nauza mitumba nilikuwa sipati mda wa kujisomea kwakuwaa nilikuwa na
choka sana kwakuzunguka na mitumba mitaani ndipo napata pesa ya kula
chakula nikienda shule na toroka ili ni waikuenda kuunza mitumba ndipo
ni pate pesa ya kulipa karo ya shule,kununua madaftari,kununua nguo na
kununua vitabu na kulipia pesa ya mtihani wa taifa necta ambayo ilikuwa
sh 35,000 kwa tarehe za mwazoni lakini mimi nilikuwa wa mwisho kulipia
ikabidi nilipie sh 50,000 ambayo niliweza kufanya kaziya kuuza
mitumba,kuchota maji kwenye majumba ya watu ndani ya mwenzi mmoja ndipo
nilipo pata fedha hiyo na kwenda kulipa bank ya NBC ndipo tulikuwa tuna
peleka pesa kwajili ya kufanya mtihani wa four 4.
ukifanikiwa pia urudi kutupa mrejeshoAnsanten kwa ushauri wenu mlionipa nitaufanyia kazi