Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Tunaambiwa tusamehe !
Samehe hata lile ambalo ki-binadamu ni gumu kusamehewa!
Niwapeni kisa kimoja;
Kuna familia yeny watoto wa 3; mkubwa akiwa binti ambaye sasa anafikisha miaka 17. mama katika familia hii ni mfanyabiashara anayelazimika kusafiri mara kwa mara na Baba ameajiriwa shirika fulani. Katika kuishi kwao imetokea Baba amaeanzisha uchafu humo ndani kwa kulala na bintiye mama awapo safarini; na walimwengu hawakumficha neno huyu Mamam wamevumilia mpaka imewalazimu wamwambie. Naye kwa kutoamini na kwa ujasiri ameamua kuwatega watesi wake na kwa bahati nzuri ama mbaya ameweza kushuhudia baada ya kurudi ghafla na kumkuta bintiye kitandani kwake wamelala na Baba!
Binti anapoulizwa na mama ; imekuwaje mwangu usiwaone wanaume wengine woote mpka utembee na baba yako ilhali ukijua ni vibaya; Binti alimjibu Baba amenipenda mimi kama alivyokupenda wewe kwani nami pia ni mwanamke!
Hebu piga picha ya maumivu aliyopata huyu Mama
kwanza kwa kitendo cha kumkuta chumbani mwao binti akiwa na Baba yake; pili ni majibu ya huyo binti!
Huyu mama kaamua kuwasamehe na binti amechukuliwa na nduguze!
Hayo ndi majaribu tuyapatayo Duniani; Biblia inatufundisha kuwa sisi tusamehepo mara 1 tunasamehewa mara 10 elfu mbinguni!
Ujumbe kwa rafiki yako ni kuwa Ajikabidhi kwa Mungu wake na masamehe mumewe na amwachie Mungu atoe hukumu; ila iwe ni kwa hekima kwa maana ya kuwa anayesamehewa lazima atambue na kuheshimu huo msamaha na akiri pia ni lazima wakapime !
Samehe hata lile ambalo ki-binadamu ni gumu kusamehewa!
Niwapeni kisa kimoja;
Kuna familia yeny watoto wa 3; mkubwa akiwa binti ambaye sasa anafikisha miaka 17. mama katika familia hii ni mfanyabiashara anayelazimika kusafiri mara kwa mara na Baba ameajiriwa shirika fulani. Katika kuishi kwao imetokea Baba amaeanzisha uchafu humo ndani kwa kulala na bintiye mama awapo safarini; na walimwengu hawakumficha neno huyu Mamam wamevumilia mpaka imewalazimu wamwambie. Naye kwa kutoamini na kwa ujasiri ameamua kuwatega watesi wake na kwa bahati nzuri ama mbaya ameweza kushuhudia baada ya kurudi ghafla na kumkuta bintiye kitandani kwake wamelala na Baba!
Binti anapoulizwa na mama ; imekuwaje mwangu usiwaone wanaume wengine woote mpka utembee na baba yako ilhali ukijua ni vibaya; Binti alimjibu Baba amenipenda mimi kama alivyokupenda wewe kwani nami pia ni mwanamke!
Hebu piga picha ya maumivu aliyopata huyu Mama
kwanza kwa kitendo cha kumkuta chumbani mwao binti akiwa na Baba yake; pili ni majibu ya huyo binti!
Huyu mama kaamua kuwasamehe na binti amechukuliwa na nduguze!
Hayo ndi majaribu tuyapatayo Duniani; Biblia inatufundisha kuwa sisi tusamehepo mara 1 tunasamehewa mara 10 elfu mbinguni!
Ujumbe kwa rafiki yako ni kuwa Ajikabidhi kwa Mungu wake na masamehe mumewe na amwachie Mungu atoe hukumu; ila iwe ni kwa hekima kwa maana ya kuwa anayesamehewa lazima atambue na kuheshimu huo msamaha na akiri pia ni lazima wakapime !