Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,257
Mke wa mtu ni mtamu sana kuliko asiyeolewa, Sijui Kwanini??!!!.Achana na hizo mambo Mkuu.
Kumchukulia mwenzio mke ni jambo baya sana, wanawake unmarried wako wengi sana mtaani.
Mke wa mtu ni mtamu sana kuliko asiyeolewa, Sijui Kwanini??!!!.Achana na hizo mambo Mkuu.
Kumchukulia mwenzio mke ni jambo baya sana, wanawake unmarried wako wengi sana mtaani.
Ukute ni weweChai yako ina tangawizi nyingi sana
Mimi sihangaiki na uhuni aiseeUkute ni wewe
Hujapigwa sound vizuri weweMimi sihangaiki na uhuni aisee
Hawataki tabu,wasioolewa ni wasumbufu.Mi huwa nawashangaa sana baadhi ya wanaume, madem ambao hawajaolewa wako lundo kila siku wanahangaika kupata wakuwatuliza,nyie mnawaacha na kwenda kwa walioolewa kwa nini lakini?
Wahuni wengi wanapenda wake za watu kwakuwa ni cheap sana hawana mizinga sana si ana mme, hawa ambao hawajaolewa wanapiga sana mizinga ndicho wahuni wanachokwepa.Ingekua ni mke wako anachepuka ungefurahia mbona wanawake ambao hawajaolewa wapo wengi matatizo mnajitakia halafu utakuta mijamaa mingine utasikia wake za watu ndyo wazuri kwa sababu hawana gharama cku mkifumaniwa mtajuta
Wanakwepa majukumu ya kugharamia demu ambae hajaolewa.Mi huwa nawashangaa sana baadhi ya wanaume, madem ambao hawajaolewa wako lundo kila siku wanahangaika kupata wakuwatuliza,nyie mnawaacha na kwenda kwa walioolewa kwa nini lakini?
Nimeshakuwa mtu mzima sidaganyiki na furaha yangu sijawekeza kwa watu au vitu.Hujapigwa sound vizuri wewe
Boss unamuonea wivu mke wa mtu?Nilijua nipo mwenyewe, kumbe kuna mkulungwa mwingine pia
Ndugu isijekua wewe ndo mume mwenyewe uliyegongewa? Funguka mzee maana siyo kwa wivu huo!!Nimemuacha, ila roho inaniuma kuuacha msambwanda
Etiiiii....... umepimwa imani na umefeli kindezi!
Anyway, sasa ndoa ya watu itaimarika!
View attachment 2045554
Hahahaaaaa.....Hujapigwa sound vizuri wewe
Rafiki yangu hujajua tu ila mkeo pia analiwa hivyohivyoWakuu habari?
Leo nimeingia mkoa ambao mchepuko wangu anaishi, ingawa anaishi umbali kama wa km 15 hivi kutoka hapa nilipo. Baada ya kufika nyumba ya wageni nilimjulisha ili aweze kufika kwa ajili ya kunipa kampani, Baada ya muda aliweza kufika, na tukaanza kuzungumza ingawa alikuwa na mawazo mengi.
Kwa kuwa yeye ni mke wa mtu, hata nilipokuwa nachepuka naye nilikuwa makini sana, huku nikimpa heshima zote mumewe; kwa sababu kama angefukuzwa na mumewe hakuna sehemu ambayo ningeweza kumpeleka. Baada ya kufika, alionekana na mawazo mengi sana, akaniambia kuna kitu anataka aniambie ila anashindwa aanzie wapi! Mi nikampa uhuru pamoja na kumuondolea hofu,ndipo akaanza kunisimulia.
Ilikuwa hivi, anasema ''mume wangu yuko safari, na jana mida ya saa nne usiku nilichepuka na mfanyabiashara y , wakati tupo kwenye tendo la ndoa, mr. alipiga simu na simu ilikuwa chini ya mto, kutokana na kupagawa na penzi nikajikuta simu imejipokea... na mr. akawa anasikiliza kwa njia ya simu mshindo unavyopelekwa, mbaya zaidi alikuwa anamtaja mr. wake hajawahi kumpelekea moto, kama jamaa anavyompelekea.''
Mumewe akakata simu na kumtumia meseji nzito ya kumtukana; na hiyo meseji ya mumewe akanionyesha, kweli roho iliniuma sana, kwa nini achepuke kwa watu wawili; nilitamani nimzabe vibao, lakini baada ya kutafakari nikajiona nami ni mwizi pia. Ila akasema, ameona aniambie ukweli na yuko tayari kwa lolote. Na hapa alipo, amekimbia kwake anaishi kwa rafiki yake mmoja tangu ile jana usiku, kuhofia mumewe asije akatumia gunia la mkaa kumuangamiza.
Kwa hasira niliyokuwa nayo, ilibidi nipige shoo ingawa haikwenda kwa ufanisi unaotakiwa kutokana na msongo wa mawazo; baada ya hapo nikampa ushauri; 'umetuingiza kwenye vita na mumeo, kwa hiyo naomba nikae pembeni ili niepushe msongamano, na ikiwezekana tumia njia zote unazojua, uombe msamaha kwa mumeo, maisha yaendelee'. Mbaya zaidi jamaa aliyekuwa naye jana, amemwambia achague mkoa wowote akaishi na atamgaramia kwa shughuli yoyote ya kibiashara.
Kwa kifupi, nimeamua kupiga chini, ingawa bado hajanijibu kama ameridhia.
Kama ungekuwa ni wewe, kwa hali hiyo ungechukua maamuzi yapi?
nakubali classmatehatari na nusu classmate wangu wa nguvu!