Tafadhari, huko unakotaja majina ya watu usije ukanitaja mimi nianze kutafutwa bila kujuwa...Kumbe ni ugonjwa!!!!
hata mi naumwa, ukipata tiba nishirikishe tafathari.......
Ndo maana nataka tiba ili niache kutaja.....Tafadhari, huko unakotaja majina ya watu usije ukanitaja mimi nianze kutafutwa bila kujuwa...
Vipi akimtaja mwanaume, utasema mumeo shoga au...
Wallah laitani ungekua unahisi japo robo ya maumivu yangu usinge uliza hayo unayo uliza na sikuombei yakukute..
Aisee, enhe ikawaje? tiririka....:majani7:
Habari za Hasubuhi waungwana,
Naa swali linanichokoa roho,ivi pale unapokua na mumeo mko kwenyeuwanja wa mahaba halafu mwenzio
baada ya kukuita kwamfano Fatma anakuita fayka inamaana ndio mtu wake wewe boya tuu hapo au mpaka
amfikirie huyo ndio bao upewe au inakuwaje? au pale anapo kuita akajitia kasahau anaita jina hilo au jengine inakua
keshakuchoka au?
huyo kakuchoka...anakugegeda kwa sababu ni wajibu lakini hisia zipo kwa dem mwengine....chakufanta ni kumnyima maana anakuchafua tuu hapo
Nashukuru hakusikia vizuri na tulikuwa tumelala tu nikastuka nikamtaja nanii, akanitolea mijicho nini???? nkajifanya nimezidiwa na usingizi nkamwambia nimesema "nasikia baridi kwa kisauti cha usingiziii.....nadhani aliamua tu kunipotezea!!!!!
Sikumuacha nilimuliza jawabu lake mke wangu mie wallahi hata sikumbuki kama nimesema hayo na kama nimesema basi
ilikua raha nisamehe,juu yakua kasema lakini still roho inaniuma..
promiseme ndugu yangu, ukiona hivyo ujue kuna mtu huwa anafanya kama unavyofanya wewe. Kama huwa anachezewa sana na mwanamke mwingine na kusema maneno mengi sana, siku ukimkoleza lazima atayasema hayo maneno. Anzia hapo kutafiti.Habari za Hasubuhi waungwana,
Naa swali linanichokoa roho,ivi pale unapokua na mumeo mko kwenyeuwanja wa mahaba halafu mwenzio
baada ya kukuita kwamfano Fatma anakuita fayka inamaana ndio mtu wake wewe boya tuu hapo au mpaka
amfikirie huyo ndio bao upewe au inakuwaje? au pale anapo kuita akajitia kasahau anaita jina hilo au jengine inakua
keshakuchoka au?
Habari za Hasubuhi waungwana,
Naa swali linanichokoa roho,ivi pale unapokua na mumeo mko kwenyeuwanja wa mahaba halafu mwenzio
baada ya kukuita kwamfano Fatma anakuita fayka inamaana ndio mtu wake wewe boya tuu hapo au mpaka
amfikirie huyo ndio bao upewe au inakuwaje? au pale anapo kuita akajitia kasahau anaita jina hilo au jengine inakua
keshakuchoka au?
huwezi jua uzito wa kitu mpaka kikutokee....hata miye nilikuwa nawajudge sana watu kama hao but juzi yalinitokea nikamuita wife jina la ex....ilikuwa ugomvi mtupu but my ex was never on my mind.....ulimi unatelezaga at times