Mume anapotaja jina la mwengine kitandani

Mume anapotaja jina la mwengine kitandani

Bora kumbana akwambie huyo ni nani na kwanini anautawala ubongo wake kabla ya kutoa hukumu ingawa ushahidi wa kimazingira uko wazi kuwa kuna kidudu mtu keshaingia. Majibu yake na ukweli wake hata kama ni mchungu kiasi gani ndivyo vitakavyokupa la kufanya kuamua kusamehe kusuka au kunyoa.
Jana mwenyewe tuko kitandani akanambia mbona huna furaha nikamwambia niko sawa,akanambia wewe ni mke wangu na nnakujua tabia yako ikiwa nimekukosea nisamehe,IKIWA lakini sioni kama nimekukosea,nikamwambia hujanikosea kwasababu hukumbuki na pia sijakasirika ila nimechoka siunajua kama nakwenda nyumbani kwahiyo shopping imenichosha,
na sijatoka kwenda popote..
 
Yuwiii ugonjwa wangu hatimaye umetajwa MMU kwenye thread hii.Ila sio kama ndo nimemcheat ni tatizo la ubongo wangu na hata mama yangu huwa anachapia majina anaweza akawa ananiita ila akaniita jina lingine kabisa.
 
na usitegemee hata siku moja kwamba atakwambia anakumbuka kasema hilo jina!hawa wanaume,ni watu wa ajabu sana!ningekuwa mimi wala nisingemuuliza maana najua asingesema ukweli,ila ningemsaka huyo mtajwa nimjue,na kujitahidi kadri niwezavyo kubadilisha uchezaji wangu
Shosti inauma sikupi mfano,lakini ntajikaza kike na wala sitopoteza mda wangu kumsaka ninani sio kosa la huyo mwanake
kama kosa nila yeye mumewangu kama hakuridhika na mm ni bora kila mtu achukue ustarabu wake. hayo mambo ya kutafutana sioni kama niustarabu...
 
Yuwiii ugonjwa wangu hatimaye umetajwa MMU kwenye thread hii.Ila sio kama ndo nimemcheat ni tatizo la ubongo wangu na hata mama yangu huwa anachapia majina anaweza akawa ananiita ila akaniita jina lingine kabisa.
Hiyo mwenye mambo yakawaida sawa lakini KITANDANI? hata mimi hukosea baada ya kumuita sister wangu Maiya namuita jina la mtoto wangu Meitha kawaida lakini sio kila mara..
 
Shosti inauma sikupi mfano,lakini ntajikaza kike na wala sitopoteza mda wangu kumsaka ninani sio kosa la huyo mwanake
kama kosa nila yeye mumewangu kama hakuridhika na mm ni bora kila mtu achukue ustarabu wake. hayo mambo ya kutafutana sioni kama niustarabu...

shosti naelewa maumivu yako!ila nilisema umtafute mtajwa,nina maana kuwa yawezekana kuna kitu flani anacho ambacho ungeweza kuiga,mfano uvaaji wake,nywele anatengenezaje n.k,halafu ukishajua hilo,hebu jiweke kiyeye flani ivi,halafu ongezea na kajikaufundi!mwali hii inasaidia maana saa nyingine mwonekano tu wa mwanamke unaweza kumtia wazimu mumeo!yaani mimi ningeiga hadi manukato ya huyo bibie!hili tatizo liko kwa wengi shoga wala usidhani ni kwa mumeo tu!
 
shosti naelewa maumivu yako!ila nilisema umtafute mtajwa,nina maana kuwa yawezekana kuna kitu flani anacho ambacho ungeweza kuiga,mfano uvaaji wake,nywele anatengenezaje n.k,halafu ukishajua hilo,hebu jiweke kiyeye flani ivi,halafu ongezea na kajikaufundi!mwali hii inasaidia maana saa nyingine mwonekano tu wa mwanamke unaweza kumtia wazimu mumeo!yaani mimi ningeiga hadi manukato ya huyo bibie!hili tatizo liko kwa wengi shoga wala usidhani ni kwa mumeo tu!
Shosti sijisifu lakini alhamdulillah na anajua akiniacha asubuhi jioni mwenzie anachukue ila nadhani anajisahau tuu,chakushangaza mie nimetulia lakini yeye ndio BP juu mara mkewangu mbona umenuna mara mbona hunisemeshi,mara kaenda kununua zawadi mara mkewangu unataka zawadi gani ya mwaka mpya anajihashua vyakutosha mwisho alikataa kwenda Holiday kisa kazi nyingi lakini nashangaa baada yakulizua ndio ohh tutaenda sote,mie kimnya langu jichoo namsubiri tufike huko kwetu kwa sasa langu rohoni shosti........
 
Jamani kutaja jina la mtu mwingine hajuna maana yoyote mbaya. Unajuwa hiyo kitu ikikolea, unaweza ukatamka lolote ukizingatia damu nyingi inahamia huko kwenye kifanyio na ubongo kubaki na kiasi kidogo sana cha damu cha kusavaivu tu.... Hebu nikuulize, wale wanaotukana mama au baba za zao nao mtasemaje? Wanatoka na wazazi wao? Acheni kumshughurisha mwenzenu negatively.....

Nikutokana na kuzunguuka zunguuka na kuweka mambo rohoni kwa muda mrefu, ndoa nyingi huvunjika maana unaweka na unajaaa upepo mpa unapaniki ukija kwenye kupasuka non reversible no point of return haitakiwi kufikia no point of return

Watu mnatakiwa kutatua matatizo at the earliest stage sasa huyu mnampa ushauri wa kuzuunguka huku gauge inapanda itafikia maximum na itabasti.

Anatakiwa kushughulikia tatizo mapema iliafurahie ndoa yake (Ndoa inaanzia kitandani bwana), lazima mume atambue anamuumiza mkewake lazima atambue na akome kumuumiza.
 
Shosti sijisifu lakini alhamdulillah na anajua akiniacha asubuhi jioni mwenzie anachukue ila nadhani anajisahau tuu,chakushangaza mie nimetulia lakini yeye ndio BP juu mara mkewangu mbona umenuna mara mbona hunisemeshi,mara kaenda kununua zawadi mara mkewangu unataka zawadi gani ya mwaka mpya anajihashua vyakutosha mwisho alikataa kwenda Holiday kisa kazi nyingi lakini nashangaa baada yakulizua ndio ohh tutaenda sote,mie kimnya langu jichoo namsubiri tufike huko kwetu kwa sasa langu rohoni shosti........

endelea kukaa hivyohivyo kimya,kukaakimya ni dawa ya mjinga!likizo njema!yatakwisa tu shosti wangu!ila akuahidi kuwa hatarudia tena!
 
Shosti sijisifu lakini alhamdulillah na anajua akiniacha asubuhi jioni mwenzie anachukue ila nadhani anajisahau tuu,chakushangaza mie nimetulia lakini yeye ndio BP juu mara mkewangu mbona umenuna mara mbona hunisemeshi,mara kaenda kununua zawadi mara mkewangu unataka zawadi gani ya mwaka mpya anajihashua vyakutosha mwisho alikataa kwenda Holiday kisa kazi nyingi lakini nashangaa baada yakulizua ndio ohh tutaenda sote,mie kimnya langu jichoo namsubiri tufike huko kwetu kwa sasa langu rohoni shosti........

Kwa taarifa yako si wote wajishushao ni watimilifu, wengi wao nikutokana na kusutwa na nafsi zao kwa upuuzi wao - tafakali.
 
shosti naelewa maumivu yako!ila nilisema umtafute mtajwa,nina maana kuwa yawezekana kuna kitu flani anacho ambacho ungeweza kuiga,mfano uvaaji wake,nywele anatengenezaje n.k,halafu ukishajua hilo,hebu jiweke kiyeye flani ivi,halafu ongezea na kajikaufundi!mwali hii inasaidia maana saa nyingine mwonekano tu wa mwanamke unaweza kumtia wazimu mumeo!yaani mimi ningeiga hadi manukato ya huyo bibie!hili tatizo liko kwa wengi shoga wala usidhani ni kwa mumeo tu!
Mmmmmh y faking myself?hii kwangu ngumu aisee ila sijui may be will help...
Bado nawaza ingekua mm ningefanyaje uiiiiw nina moyo mdogo sana kuvumilia dharau za aina hii...
 
Inawezekana na wewe unatajwa kwingine lakini hujui.... Tukianza kusakana basi kika mtu alipo ajuwe anasakwa... Maana mtu kukutaja wakati wa mechi haina maana kuwa lazima mmebanjuana. Inawezekana uliokoa maisha yake wakati fulani bila wewe kujuwa na hivyo ikakaa kwenye akili yake ya kina
ni kweli kabisa mkuu mi nakubaliana na ww!!

kuna wengine wanatajwa ndoton, kwa mtaji huo mfano mkeo kamtaja rafiki yako ndoton asubuh si utamuibukia ni kitu chenye ncha kali?
 
Nikutokana na kuzunguuka zunguuka na kuweka mambo rohoni kwa muda mrefu, ndoa nyingi huvunjika maana unaweka na unajaaa upepo mpa unapaniki ukija kwenye kupasuka non reversible no point of return haitakiwi kufikia no point of return

Watu mnatakiwa kutatua matatizo at the earliest stage sasa huyu mnampa ushauri wa kuzuunguka huku gauge inapanda itafikia maximum na itabasti.

Anatakiwa kushughulikia tatizo mapema iliafurahie ndoa yake (Ndoa inaanzia kitandani bwana), lazima mume atambue anamuumiza mkewake lazima atambue na akome kumuumiza.
Kama ndoa inaanzia kitandan na huko kitandan anatajwa mwanamke mwingine what for?
Yaan tunasema tu kwa vile haijatutokea japo ni vema atafute ufumbuzi mapema as u said lakin inauma jaman ampe tu kash kash kidogo huyo mume wake.
 
hawa wanawake "wanaosoma magazeti" utawafanyaje bila "kutaja jina" la wanaojua majambozi? it goes without saying...!
 
endelea kukaa hivyohivyo kimya,kukaakimya ni dawa ya mjinga!likizo njema!yatakwisa tu shosti wangu!ila akuahidi kuwa hatarudia tena!
Inshallah,ahsante shosti lakini kanifungua macho sanaa laitani angejua thamani yake..
 
Kama ndoa inaanzia kitandan na huko kitandan anatajwa mwanamke mwingine what for?
Yaan tunasema tu kwa vile haijatutokea japo ni vema atafute ufumbuzi mapema as u said lakin inauma jaman ampe tu kash kash kidogo huyo mume wake.

Kweli mtoto mpole inauma sana umeongea kutoka moyoni kuonesha uhalisia.
 
Kama ndoa inaanzia kitandan na huko kitandan anatajwa mwanamke mwingine what for?
Yaan tunasema tu kwa vile haijatutokea japo ni vema atafute ufumbuzi mapema as u said lakin inauma jaman ampe tu kash kash kidogo huyo mume wake.
Vipi akimtaja mwanaume, utasema mumeo shoga au...
 
Yuwiii ugonjwa wangu hatimaye umetajwa MMU kwenye thread hii.Ila sio kama ndo nimemcheat ni tatizo la ubongo wangu na hata mama yangu huwa anachapia majina anaweza akawa ananiita ila akaniita jina lingine kabisa.

Kumbe ni ugonjwa!!!!
hata mi naumwa, ukipata tiba nishirikishe tafathari.......
 
Back
Top Bottom