Mume anapo-support ujinga wa mkewe!!!!

Sababu na wewe unaweza kuwa unaijua. Mtu akiongea kwa mifano anaeleweka zaidi. Hata wanaotumia Biblia Yesu alifundisha kwa mifano.

Hakuna lazima ya mfano usiokuwa sahihi kwa asilimia zote kufikisha ujumbe.

Sio wadigo wote wanaokuza mambo wala sio watu wa pwani wote wanapenda mipasho ni stereotype tu.

Ni sawa na Mzungu aseme watu weusi wajinga kwa sababu taarifa anazozijua yeye ni hizo au mwengine awe akisema Watanzania mafisadi akichukulia sifa za viongozi wetu.

Licha ya hayo, mifano ya aina hiyo haijengi. Sioni haja ya kufikisha ujumbe directly na kumkera mlengwa wakati indirect ungefika pia na mlengwa angekuelewa
 
sample si universal. Kusema waafrika wajinga kuna weza kuwa sawa kwa sababu alosema anaweza kuwa ametumia sample kusuport usemi wake.

Any way nimekuelewa and sorry for those that felt that they were offended.

Hakuna lazima ya mfano usiokuwa sahihi kwa asilimia zote kufikisha ujumbe.

Sio wadigo wote wanaokuza mambo wala sio watu wa pwani wote wanapenda mipasho ni stereotype tu.

Ni sawa na Mzungu aseme watu weusi wajinga kwa sababu taarifa anazozijua yeye ni hizo au mwengine awe akisema Watanzania mafisadi akichukulia sifa za viongozi wetu.

Licha ya hayo, mifano ya aina hiyo haijengi. Sioni haja ya kufikisha ujumbe directly na kumkera mlengwa wakati indirect ungefika pia na mlengwa angekuelewa
 
Hakuna lazima ya mfano usiokuwa sahihi kwa asilimia zote kufikisha ujumbe.

Sio wadigo wote wanaokuza mambo wala sio watu wa pwani wote wanapenda mipasho ni stereotype tu.

Ni sawa na Mzungu aseme watu weusi wajinga kwa sababu taarifa anazozijua yeye ni hizo au mwengine awe akisema Watanzania mafisadi akichukulia sifa za viongozi wetu.

Licha ya hayo, mifano ya aina hiyo haijengi. Sioni haja ya kufikisha ujumbe directly na kumkera mlengwa wakati indirect ungefika pia na mlengwa angekuelewa

sometimes mtu unakuta yeye ni mzaramo mfano na still anasema
wazaramo kwa ngoma bana....hapo unasemaje???????
 
sometimes mtu unakuta yeye ni mzaramo mfano na still anasema
wazaramo kwa ngoma bana....hapo unasemaje???????

Nadhani inategemea na hadhira yako. Hapa hatujuani kwa hiyo mtu kuwa offended inakuwa rahisi.

Pia inategemea utakavyoisema na wapi na sababu iliyopelekea kusema hivyo.

Na tunaposhindwa kuelewa hadhira tunasikia wakati mwengine " Kenda Marekani sasa anakataa asili yake"
 
Sina tabia ya kumuogopa yeyote bali nina silika ya kuheshimu makundi fulani ya kijamii ambayo hata yakinikwaza, basi nitajitahidi (haijalishi hata kama nitashindwa) kutotoa the same reaction. Kama unazani na-justfy then let me consider myself fool. hata nilivyoku-PM, it was a matter of respect hata kama uta-undermind!

Nikwambie kitu mkuu, sijapuuza PM yako ila reply ndo inefail na hata wakati naandika hiyo post nilikuwa sijaiona. So every thing is clear now na nimekuelewa kabisa!
 
Ndio......including umbea ndo maana watu wakadiriki kuweka mabango hadi nyumbani mwao!!

sawa kipipi, umbeya nao haukubariki. hata hivyo, unapoweka kibao ndani kwako unatoa taswira kwamba kila anayekuja hapo unamuonya aache umbeya wakati hajafanya chochote!!! Kabla hujaweka posting ya aina hiyo, ni bora kwanza ukajiuliza kwanini unaweka! Si ajabu shemeji yangu aliyapenda tu yale maneno na akaamua kuweka sebuleni pake lakini alitakiwa kwanza kufikiria watu wanaokuja pale watachukulia vipi!!!

Assume na wewe ukiwa na mumeo nyumbani unaweka kibao kama hicho; na mara mkwe wako anakuja hapo kwenu na kukutana na kibao kama hicho! Je, akijihisi kuwa offended utamlaumu? Ktk hali ya ubinadamu si ajabu akajihisi umemwekea yeye!! Nafahamu ni ngumu kwa wengine kuukubaali ukweli huu, lakini siku yakija kukukuta naamini utanitafuta kama sio kuukumbuka ushauri wangu!!

Haiwezekani kwamba kila anayekuja kwako anafuata umbeya, vinginevyo hakuna sababu ya kufanya kibao kama hicho kiwe hapo 24/7 !!! hata wale wanaotumia mavazi kama kanga au vitenge kufikisha ujumbe kwa walengwa wao; huwa wanafanya hivyo kwa wakati maalumu tu! Watavaa na kujipitisha kwa wale wanaowalenga kuwafikishia ujumbe huo kisha watazivua na kuendelea na ratiba zao za kawaida huku wakiamini "msg delivered.

"Hawavai wakati wote na kwenda kila mahali kwa sababu wanajuwa walengwa wao ni nani!!! lakini unapoweka mabandiko ndani, tena sebuleni basi hapo unamsuta kila anayeingia!!!!
 
kaka,hukuelewa tu."UKIJA UJE NA YAKO,UMBEA NYUMBANI KWAKO" simply means hapo kila kitu ni ruksa. Kwa maana hayo yako unayokuja nayo pia yaweza kuwa umbea kwao na ushauri wako umepokewa na wa wengine pia utapokewa coz hayo yote yanakuwa ni yale waliyoyaleta !so hakuna ulazima wa kukitoa hicho kibao coz bado kinahitajika kwa wengine japo Me,MYSELF and I,hate those vibaoz with such ujumbez
 
kweli tembea huyaone......ni sawa na kile kinachosema utakayoyakuta ndani ya nyumba hii yaache hapa hapa,nafikiri wanakuwa wamewalenga baadhi ya watu flan flan ambao wanawajuwa wao kwa tabia zao za kuchukuwa maneno huku na kupeleka kule,sio kila anayewatembelea wanakuwa wamemlenga yeye,so kama akikuhusu wapotezeee
 
'Ladies, enter at your own risk' Gheto... ungekuja ungetuambia tuondoe maandishi hayo ?

Angekuja nani?!! Me? Kama the answer is YES, nisingekuambia coz' it make sense! It make sense kv hujui kwanini katoa tahadhari; for me, hiyo ni tahadhari isiyopaswa kupuuzwa!
 
Nikwambie kitu changu, kimsingi ulichemka, ile nyimbo umeikuta inaimba hukupaswa kuanza mwambia mwenye nyumba abadilishe. angalia ucje ukawa kama wale jamaa wakifika kwenye nyumba za jamaa zao na kuanza shika hiki na kile hasa rimoti na cd... poa .
 
Nikwambie kitu changu, kimsingi ulichemka, ile nyimbo umeikuta inaimba hukupaswa kuanza mwambia mwenye nyumba abadilishe. angalia ucje ukawa kama wale jamaa wakifika kwenye nyumba za jamaa zao na kuanza shika hiki na kile hasa rimoti na cd... poa .

Mkuu, kuna tofauti kubwa sana kati ya KUMWAMBIA mtu na KUMSHAURI mtu. By the way, this's my great friend ambae tunashauriana mambo mengi tuuuuuuuuuuuu na mengine very sensitive issues haidhuru hata kama mara nyingine tonatofautiana kimawazo!!!! Lakini good enough, leo mwana alinipitia mzigoni tukaenda kwake na nikakuta kile kibao amekitoa coz' ameona logic ya kile nilichomshauri!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wana, nyie mnaopinga mnaishi vp na washikaji zenu?! Hata kama mnaona wanaenda wrong, u don' advice them to go in what u think it's the right way?! lakini siwezi shangaa, wengi urafiki wao ni wa baa au wa kukutana schoolz/vyuoni/makazini na sana sana kwenye issues za kipuuzi kama vile kusaka mademu na kula bia!!!!!! Sie urafiki wetu haupo hivyo, we're more than friends!!!!!!!!!! Read and think the issue in positive ways kuliko kupinga tu ili mradi mmepinga!!! Nazani hata kama angeona posts za watu humu ndani nazani angeshangaa sana vile ninavyomuambia JF is everything for one's daily life!!! Lakini vile vile nimepata picha moja ktk mjadala huu! Kwamba, wengi wenu humu ndani kwanza u've no true fiendships (urafiki bora ni ule wa kushauriana kuacha mabaya na kufanya mazuri) na vile vile wengi wenu ni wale wasiopenda kushauriwa------ u can't move fowards mazei if u think that is the right way!!!!!!!!! Manake mnavyoongea mtazani mlisikia kwamba mwana ali-mind nilivyompa hiyo advice!!!!!!! in addition, the dude is my best friend ambae huwa ananishauri na mimi sitaacha kumshauri pale ninapoamini anaenda sivyo ndivyo!!1q Nashangaa wapumbavu wachache humu ndani wanaoamini kwamba kuleta hii mada humu jamvini ni umbeya wakati nimeileta ili ku-share mawazo ya wht's happening in real life. Nikwambie mwana, hata kama wewe una vibao vya aina hii, my advice kwako ni kwamba viondoe coz' vina-ondoa good image of urs na wenye akili na busara zao wakiviona wanaweza kukuhisi kwamba ni mtu unayekaa kwa mipasho na kujishtukia NI mtazamo na ushauri, u can take it or leave!!!! But usiogope kumshauri rafiki yako if u believe s/he real friend of urs!!!
 
Kawaida ni kua you can not choose mwenzio aishi maisha gani.... But ukweli unabaki ulooweka hapa ni kweli kabisa kua haipendeza... na thou waweza ona kama wanamsimanga mgeni wao... IMO hio inatoa picha the type of people they are... Hicho kibao says Loads kuhusu Watu wenyewe... mahala wanaishi... attitude towards watu wa nje... Na lack of busara ya kuweza tafakari kua hapo wageni ni aina nyingi na wengine hawastahili kabisa waone huo ujumbe.... as much as they mean it...

AshaDii, nakubaliana na wewe, mara nyingi ukiona mtu katundika maandishi ukutani mwa nyumba yake yenye kutahadharisha wageni kama huyo jamaa, basi ujue huko ni kutojiamini.......... kama wanandoa wana busara za kutosha katika kupokea matukio na kuyajadili katika hali ya kujenga, hawawezi kusumbuliwa na maumbeya ya majirani. huo ni udhaifu mkubwa sana. kwa nini kelele za majirani au wageni ziawanyime usingizi? mnaweza mkajaza vibao vya ujumbe kila kona ya nyumba yenu na bado mkaandamwa kwa kuwa mmeyavuta wenyewe kwa kisirani chenu........
 
Ukiona hayo mabango ujue hao watu wanamatatizo makubwa kwenye familia yao...so wanajahami maneno kutoka au wanaishi maisha ya juu kitaa kumbe kwao pa kawaida ndo wanajiaham kumbe wanatakiwa kuwa comfotable na lyf Mungu alowapa....Kaka umefanya your part congrats
 
nafikiri Kichwa cha mada hii kingekuwa : MUME NA MKE WANAPORUHUSU UJINGA NDANI YA NYUMBA YAO.
Ninachoweza kusema ni kuwa pamoja na kuwa ni maisha yao binafsi lakini kama mmeshibana alipaswa kuelewa kuwa 'sebule' yake mara nyingi huweza kutoa picha halisi ya mtu kama yeye. Mfano, kwa kibao hicho Mimi ningetafsiri kuwa nyumba hii imezoea mambo ya 'uswahili' sana; na ni sawa na vile vya NYUMBA HII INALINDWA NA DAMU YA YESU au vile vya dini ya kiislamu na vya aina hiyo nitachukulia kuwa ni nyumba inayoamini dini au kile cha Mgeni wetu karibu Tena nitachukulia kuwa ni familia ya watu wakarimu. Sasa hii ya Ukija Uje na Yako, sijui ya hapa uyaache mwee kwanza kitanifanya nihisi nyumba hii ina vimbwanga kufa mtu, ngumi kati ya mke na mume ni kwa kwenda mbele, kuna panya buku wanaoovertakiana na kupigana pasi kila mara, kuchafu yaani na kila kitu ambacho mtu wa nje akikijua ni aibu ndio maana nataadharishwa nikiingia niingie na yangu na nikitoka ya kwao niwaachie.
 
Kawaida ni kua you can not choose mwenzio aishi maisha gani.... But ukweli unabaki ulooweka hapa ni kweli kabisa kua haipendeza... na thou waweza ona kama wanamsimanga mgeni wao... IMO hio inatoa picha the type of people they are... Hicho kibao says Loads kuhusu Watu wenyewe... mahala wanaishi... attitude towards watu wa nje... Na lack of busara ya kuweza tafakari kua hapo wageni ni aina nyingi na wengine hawastahili kabisa waone huo ujumbe.... as much as they mean it...

AshaDii huo ujumbe haufai hata kidogo imagine umeingia katika nyumba unakumbana na bango kama hilo teteteteh..Ingawa huwezi kumpangia mtu namna ya kuishi kwake ,lakini hekima ni muhimu ktk maisha..kwanini uweke bango la hivyo kama wewe sio mbea?
Basi weka "nayaweza mambo yote ktk yeye anitiaye nguvu" .kama mi muislam kuna vifungu pia vya manufaa zaidi.
Napata picha mzee siku hiyo unaingia na wageni wako wa heshima harafu wanakumbana na bango la namna hiyo ,labda hawataweza kuuliza kama mtoa mada lakini watabakia na yao kichwani....
 
nafikiri Kichwa cha mada hii kingekuwa : MUME NA MKE WANAPORUHUSU UJINGA NDANI YA NYUMBA YAO.
Ninachoweza kusema ni kuwa pamoja na kuwa ni maisha yao binafsi lakini kama mmeshibana alipaswa kuelewa kuwa 'sebule' yake mara nyingi huweza kutoa picha halisi ya mtu kama yeye. Mfano, kwa kibao hicho Mimi ningetafsiri kuwa nyumba hii imezoea mambo ya 'uswahili' sana; na ni sawa na vile vya NYUMBA HII INALINDWA NA DAMU YA YESU au vile vya dini ya kiislamu na vya aina hiyo nitachukulia kuwa ni nyumba inayoamini dini au kile cha Mgeni wetu karibu Tena nitachukulia kuwa ni familia ya watu wakarimu. Sasa hii ya Ukija Uje na Yako, sijui ya hapa uyaache mwee kwanza kitanifanya nihisi nyumba hii ina vimbwanga kufa mtu, ngumi kati ya mke na mume ni kwa kwenda mbele, kuna panya buku wanaoovertakiana na kupigana pasi kila mara, kuchafu yaani na kila kitu ambacho mtu wa nje akikijua ni aibu ndio maana nataadharishwa nikiingia niingie na yangu na nikitoka ya kwao niwaachie.
umeona enh? mbona kuna vibao vingi tu ambavyo vina decent msg?
 
Nas Daz... Ushauri mzuri kwa Rafiki lakini kwa JF kila M2 ana lake... Bora siku nyingine usilete topic zinazokwaza watu haswa heading...ilikuwa sii nzuri...
 
Back
Top Bottom