hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
Chepuka
KaribuAsnte ntajitahid kufany kama ulivo shaur
Navyo ona Mimi huyu mi mwanaume anafanyiwa haya yote ma mke wakeNdg zanuni,
Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.
Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).
Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.
Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.
Ndoa ina miaka 2 .
Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
Kupitia point hii nmeamin malaya wa bongo mnakuja na mbinu nyingiiNdg yngu nimevumlia kwakipindi kirefu sasa mpk nakumbuka m ex zangu shd nikwamba siwez kuwatafuta.natamani ningepata mtu nae mjua rejali akanipige mtiiiiii niwezawa atakiufahamu
Ndoa ina miaka miwili na mna watoto wawili sasa. AiseeeeeJaman mm ni wakike.Mm ni mwanamke na mama wa watoto wawili sasa.
Nina 25 n yeye ana 37 huwa akirudi namkumbatia nakumkaribisha nyumbn.nampatia chakula n yeye akimaliza huaga anaenda kulala nikimwita tuzungumzee anadai kachoka
😂 😂 😂 😂 😂 😂Mh kama ana rafiki anaitwa Emma ngoja tuchukue busara za NAKWEDE
mmeo anaendaga chumba walicho ndugu zake wakiume wanaenda kushindana kupiga nyetoNdg zanuni,
Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.
Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).
Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.
Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.
Ndoa ina miaka 2 .
Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
😂 😂 😂 😂 😂Huu mwandiko wa kiume!
shughuli zao zinaingiaje au unataka kuwaibia?Wewe kweli ni mwanamke au ME?
Mumeo anafanya kazi gani ?
Mwanzoni kabisa performance yake ilikuwaje NA sasa ikoje?
Ana umri gani ?NA wewe pia una umri gani?
Life style yenu KWA ujumla ikoje? Yaani kuhusu afya zenu, shughuli /kazi zenu, vya kula na lishe yenu, maelewano yenu ktk NDOA, watoto, privacy ya hapo nyumbani kwenu, usafi wa mwili, nk., n.k.
Kumbuka kuwa, sisi Wanaume wengi "hatupendi wanawake wenye midomo, gubu NA dharau" majumbani mwetu.
Tafuta muda mzuri akiwa NA furaha NA wasaa mzuri WA kuongea ili mjadiliane suala hili KWA mapana, mueleze bayana kuhusu kero hii usimfiche kitu,
Usitafute ushauri KWA Watu wengine kwanza, KWA sababu watu wengi watatumia nafasi hiyo kukueleza kuwa uchepuke, au wengine watakutafutia mjchepuko kabisa