Mume ananikwepe nifanyaje? Naombeni mnishauri.

Mume ananikwepe nifanyaje? Naombeni mnishauri.

135 cry

Member
Joined
Sep 22, 2019
Posts
45
Reaction score
35
Ndg zanuni,

Habari ya jioni hii ikiwa leo tarehe 29 Jumapili.

Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana mahitaji yetu ya kindoa(mwili)(kugegedana).

Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.

Nimekuwa mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia simu yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.

Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.

Ndoa ina miaka 2 .

Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
 
Pole mumie,
Lazima kutakuwa na sababu ya yeye kufanya hivyo, ni aidha ako na stress sana za maisha ama tatizo liko kwako..!! Hii kama ni only hakuwa hivyo mwanzoni.!!

Jitazame ni wapi unakosea isije ikawa una mdomo ama gubu na unamkera kila siku kaka wa watu, ama hujipendi tena tofauti na nyuma,

Hebu jitatafakari kama kwa upande wako kuna pahala unazembea.!!

Ukiona upo saawa, then tafuta muda na mahali ukazungumze naye kwa upendo ili ujue shida hasa ni nini..!!
 
Ndg zanuni,

Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.

Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).

Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.

Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.

Ndoa ina miaka 2 .

Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
Duuuu!!!! Kwa upeo wangu mdogo inawezekana anakuwa na stress hivyo unatakiwa umpokeee kwa upole na kumwambia maneno ya faraja ili apate furaha moyoni mwake. Usimpokeee kwa maneno ambayo yanaweza mvunja moyo na kujikuta akihitaji kumpumunzika na kujifariji mwenyewe
 
Ndg zanuni,

Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.

Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).

Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.

Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.

Ndoa ina miaka 2 .

Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]

Wewe kweli ni mwanamke au ME?

Mumeo anafanya kazi gani ?
Mwanzoni kabisa performance yake ilikuwaje NA sasa ikoje?
Ana umri gani ?NA wewe pia una umri gani?
Life style yenu KWA ujumla ikoje? Yaani kuhusu afya zenu, shughuli /kazi zenu, vya kula na lishe yenu, maelewano yenu ktk NDOA, watoto, privacy ya hapo nyumbani kwenu, usafi wa mwili, nk., n.k.

Kumbuka kuwa, sisi Wanaume wengi "hatupendi wanawake wenye midomo, gubu NA dharau" majumbani mwetu.

Tafuta muda mzuri akiwa NA furaha NA wasaa mzuri WA kuongea ili mjadiliane suala hili KWA mapana, mueleze bayana kuhusu kero hii usimfiche kitu,

Usitafute ushauri KWA Watu wengine kwanza, KWA sababu watu wengi watatumia nafasi hiyo kukueleza kuwa uchepuke, au wengine watakutafutia mjchepuko kabisa
 
Kuna mambo mbili tatu hapo. 1. Una mdomo saaana. Kila akija unalalamika kuhusu ndugu zake au kuhusu mahitaji yako ya nguo na hela ya kibati. Humpi nafasi ya kutuliza stress za kazini.2. Yawezekana naye anafanywa hivyo anaona uchungu kukufanya anayo fanyiwa na wenzake 3. Ana madeni makubwa yaliyotokana na harusi yenu
 
Ndg zanuni,

Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.

Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).

Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.

Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.

Ndoa ina miaka 2 .

Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
Kuna watu Wana stress za maisha achaga tuu. Kama ni mtumishi wa serilikalini utashangaa ana madeni bank, loanboard . Inabidi unakuwa mfariji wake. Wanawake mnataka kubembelezwa angalia na mume wako sometimes inabidi kumfariji . Hapo utapewa Haki yako ya ndoa vizuri. Kazini hakueleweki akirudi nyumbani hamna hata tabasam
 
Pole Sana ..Kama msafi na unajua wajibu wako Kama mke kilichobaki Ni kusali Sana.
 
Sasa unahitaji ushauri au unahitaji kupigwa miti???
Nichek pm tujue tunafanyaje, watanzania sisi ni ndugu siasa tu zinataka kutubagua
 
Yaani mtoto wa kiume unakuja na uzi wa kujigeuza wewe ni mwanamke! Shame on you. Wewe siyo mwanamke hata kidogo.
 
Ndg zanuni,

Habari ya jioni hii ikiwa leo tareh 29 jumapili.

Waungwana niende moja kwa moja kwenye mada.
Mume wangu ananikwepa anitendei Haki katika kutimiziana maitaji yetu yakindoa(mwili)(kugegedana).

Kila siku napewa sababu akitoka kazini anajifungia chumba ambacho wana lala ndg zake wakiume nakusema kachoka sana na haitaji usumbufu ataki ata mazungumzo na ikitokea kanipa mkunyenge basi anamaliza yeye ananiacha natoa macho tu nakua bado nahitaji na sifiki kileleni.nimekua mtu wamawazo isitoshe hana dalili ya kuchepuka maana anawahi kurudi nyumbn sana na hata wikiend hatoki nyumbn pia cm yake ya tochi atumiwi ujumbe wowote zaid ya message za kubet na za voda na za mpesa uuuuuf! Nivute pumzi kwanza.

Kiukweli nimechoka kuomba penzi na kumwinda kila saa ,mawindo yasio na faida maana na mienzi mitatu sasa sijapigwa miti.

Ndoa ina miaka 2 .

Niko seriou waungwana naitaji ushaur makinika naitahi msaada naomben muweke utani pemben kwaleo.[emoji1317]
Tafuta mti wa mlonge
 
Mabaharia nyuzi kama hizi I'd kama hizi hawazilazii damu wanazama piemu
Nawakumbusha tu mke wa mtu sumu kuna muhun huku Leo kaliwa kiboga
 
Nina 25 n yeye ana 37 huwa akirudi namkumbatia nakumkaribisha nyumbn.nampatia chakula n yeye akimaliza huaga anaenda kulala nikimwita tuzungumzee anadai kachoka
 
Back
Top Bottom