klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Nashkuru Tiamaji hayuko hivo, atakaempata Tiamaji ana bahati sana wallahikuna watu wako hivo... wapo sana.
Nashkuru Tiamaji hayuko hivo, atakaempata Tiamaji ana bahati sana wallahikuna watu wako hivo... wapo sana.
Sasa hiki kijjiji au kambi ya jeshi? kichura chura?kuna sehemu yanaishia then mnatembea kwa miguu, mkifika mbele kuna sehemu lazima utambae kama mtoto na part ya mwisho utakuwa unaruka kichurachura.
Ngoja nione how she will resist this... naona na wewe umeamua. Umesha mpigia sim? saa hizi ni shillingi moja tu hadi majogoo yatakapo wika.Nashkuru Tiamaji hayuko hivo, atakaempata Tiamaji ana bahati sana wallahi
Sasa hiki kijjiji au kambi ya jeshi? kichura chura?
Tena mzembe naongea kiingereza kitupu, samtaimu nazimua na ile lugha yako ya bonjour?Ngoja nione how she will resist this... naona na wewe umeamua. Umesha mpigia sim? saa hizi ni shillingi moja tu hadi majogoo yatakapo wika.
Hahahahaha, hapo lazima aanguke tu. lugha ya porojo hiyo.Tena mzembe naongea kiingereza kitupu, samtaimu nazimua na ile lugha yako ya bonjour?
Si umeona eeh? Husninyo na heartbreaker wake imekula kwao.Hahahahaha, hapo lazima aanguke tu. lugha ya porojo hiyo.
Si umeona eeh? Husninyo na heartbreaker wake imekula kwao.
Ila na wewe ni kigeugeu. In the other thread of afrodisiacs unataka kumpitia mwende wapi sijui... focus, concentrate hapa hapa.Si umeona eeh? Husninyo na heartbreaker wake imekula kwao.
Ila na wewe ni kigeugeu. In the other thread of afrodisiacs unataka kumpitia mwende wapi sijui... focus, concentrate hapa hapa.
umeanza majungu lawyer tena mbele ya mchuchu mpya. Proposal litakataliwa.
Ila na wewe ni kigeugeu. In the other thread of afrodisiacs unataka kumpitia mwende wapi sijui... focus, concentrate hapa hapa.
Si umeona nimeweka kambi hapa kwenye sredi, leo mpaka kieleweke
Dah! kweli acha nikuwe mnyenyekevu, halaf nazani mngemwambia Tiamaji kwamba mimi sjawahi kupigwa ban wala kutembelea jukwaa la wakubwa, nimetatua matatizo mengi ya ndoa jukwaa la MMU na pia ni hazbend material, niko tayari kufa njaa lakini waifu apate hela za make up za Taiwan.
wasiliana na kongosho, anadai anatafuta mke wa pili kwani huyu aliyenaye anamtesa sanadada husninyo namaanisha ndo maana nimeweka na namba ila naomba pls kwa alie serious coz cpendi kusumbuliwa..
Hili linaweza likawa zali langu acha nizame pm
Wasalimu watu wa Iringa. Ntaanza kukuumbua hvyo.[/QU HVI UKIWA IRINGA UNAKUWA UMEUMBUKA EEEEEH?. SALAM ZAKO ZIMEFIKA,JE KINGINE?