- Thread starter
- #141
Wowote anakaribishwaHuyo mume awe Na watoto wangapi
Wowote anakaribishwaHuyo mume awe Na watoto wangapi
Asante WillyMungu atakusaidia utampata umtakae
Naomba niione
Mengi sanaHahaha, pombe ina madhara gani kwako?
HahahahNaomba niione
Karibu sana,,nafas ipoKama na mm Nina watoto wawili nafasi ntapata au
Niko pm tayariHahahah
Asante dearInaonekana wanywa pombe wengi sana ehhh, na wanapata shida mno, ouk, dada umeweka uzi wako, nimeupenda sana, nina uhakika kuna siku utarudi humu na kushukur kwamba umepata mume Jf, kama ni Mkristo mwwnye imani, nina uhakika kilio chako kakisikia Mungu, na atajibu, ila majibu ya Mungu anaweza akakupa nje na hayo uliyomention, kaa kujiandaa ktk hilo, Mungu anasema tunayowaza sisi, yeye anakuwa tofauti na mawazo yetu, anaweza kukuletea hata mvuta bangi lkn akaifaa sana familia hyo,ningekuwa sijaoa ningekutafuta, japo mm 32 but umri sio kitu kwangu, kilichonivutia sana ni hao watoto wawili Wadada, hapo ndo nazimia kabisa, napenda sana watoto hasa wa kike, kwahyo ningekupendea kupitia watoto wako.
Nashangaa wanaokimbia kulea watoto, hao ni baraka sana ktk maisha. Mungu akutafutue wa haja yako.
Ni sawa kabisaEt awe tayar kulea watoto wangu,we si unajua siku hzi hatutoi sadaka kwenye msikiti/kanisa ambalo huswali
Asante dearKila LA heri
KaribuMimi sifa ninazo ila nami ninao watoto 2 wa kike na kiume km upo tyr kulea wanangu njoo tuyajenge...
Labda utafute malaikaSipatani na pombe baba
Nyie si Hua mna ndoa moja unataka mume gani tena na mtafunga ndoa wapiHabari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Ukija pm nitakujibu vemaNyie si Hua mna ndoa moja unataka mume gani tena na mtafunga ndoa wapi
Na wanywa pombe pia...Wavuta sigara tushakosa mke
nadhani ni moja ya kigezo kitakachofanya mchakato uwe mgumu kwake.Hapo kwenye pombe ,utata.
Buy one get two free!