Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Ushauri alioutoa Profesa Mukandala kwa Rais Kikwete kwangu mimi ni wa Kisanii zaidi kuliko wa kisomi. Watanzania wanachotaka ni kuandikwa kwa katiba mpya na sio kuifanyia marekebisho katiba iliyopo.
He's just one contemptible CCM string-puppet whose credibility is as insignificant as any shit! After all it's a publicity stunt, he's seeking a worthless attention.