Mukama ameikejeli Katiba!

Barua ya kujiuzulu hakuandika kwa hiari yake alilazimishwa kujiuzulu baada ya kuonekana ni msaliti wa nchi. Gabbage in Gabbage out, unategemea chama kilichoanzishwa na msaliti wa nchi, na chenyewe kitakuwa kisaliti tu


We kweli ni mtoto wa juzi............... nenda kamuulize baba yako akupe hadithi. Kwa kifupi tu.......... Aliyoshauriwa Nyerere na kuyakataa alikuja kuyakubali ndani ya kipindi kisichopungua miaka 10. Uzuri Nyerere hakuwa king'ang'anizi kama akina JK, alipogundua nchi imemshinda akamua kung'atuka 1985. JK dunia nzima imeshajua ..... lakini bado anang'ang'ania tu kisa miashara za ikulu!!!!
 
Acha uzushi, leta data na source!
 

It sound like history ! ngoja ni print nikawape watoto wa darasa la nne
 
Kansa uliyonayo imeshafika kwenye ubongo na hivyo huwezi kupona hata kwa kikombe cha babu. Walioua watu Arush ni Chadema au CCM? Wasio na nidhamu bungeni ni CCM, hawakai bungeni, hawajadili hoja kwa masilahi ya wananchi waliowatuma. Huo ndo utovu wa nidhamu. Chadema huwa wanahoji pale panapoleta utata ili parekebishwe lakini wasio na nidhamu huunga mkono hata bila kujua hoja iliyopo mbele yao kisa tu wamepigiwa kengele warudi ukumbuni kuongeza kura za CCM. Pole sana unayejiita Genius japo ni vise versa yake.
 
Nilifikiri baada ya kuondoka makamba basi ngojera na taarabu zitakwisha kumbe na huyu naye bado tu? Kweli kobe hawezi kuvua gamba lake!
 

Mauaji ya arusha yaliisha ongelewa sana humu na chanzo ni CDM. Kuhusu bungeni Spika , Katibu wa bunge wameisha sema hawajawahi kuona bunge bovu kama hili kwa wabunge wa CDM kuuza sura badala kujadili hoja
 
wenye elimu za mashaka pona yao iko ccm..........by Ben jf
 
Nilifikiri baada ya kuondoka makamba basi ngojera na taarabu zitakwisha kumbe na huyu naye bado tu? Kweli kobe hawezi kuvua gamba lake!

Jibu jepesi kwa hoja nzito, ndio tatizo la wana CDM humu JF
 
christian church mission aka ccm, kidogo mtoa hoja unanipa mashaka na kunifanya niamini kuwa wewe ni mmoja kati ya wsle mamluki lukuki mli tumwa kuja kukabiliana na hichi kimbunga cha mabadiliko kinachoongozwa na CDM aka Nguvu ya umma ,na ningeona wa mana ungeanzisha thread ya kupinga serikali yako inayoongozwa na Magamba inayochukua mikopo na misaada toka huko IMF kwa masharti magumu yasiyo na tija kwa taifa letu kuliko kuja na propaganda zako na CDM pekee ndio ina sera za kumuenzi baba wa taifa Elimu bure,Afya bure nk ambavyo nyie Magamba vinawashinda kufanya kutokana na ndoa zenu na mashika kama IMF kuwabana.
 
Inaonekana wachangiaji wengi mnabeba huyu mtoto CDM kama glasi kwa tahadhari kubwa na hamtaki kusikia tofauti na "peoples' power" kwa kweli maji ya bendera ya CDM yamelogesha, itawabidi muanze safari ya Samunge mkapate kikombe cha BABU. Ukweli Ndio Huo CDM kina mkono wa IMF hivyo MTEI alipewa kazi maalum na Viranja kusajili chama ili wao waweze kupenyeza mawazo yao na kukidhi mahitaji yao!
 

imekaa kinafiki weka vielelezo
 
Jamaa anaongea kama walimu wa Biologia hasa wafundishapo classification, utasikia nyoka kawaida yake ni kujivua gamba ifikapo muda fulani, mara anasema maswala ya baridi na damu kuganda na mifano mingine ambayo hailandani.
Kweli jamaa ni mwalimu sio mwanasiasa kabisa.
 

GeniusBrain kwanza nina mashaka na uelewa wako juu ya mzee Mtei na maswala kadhaa ya nchi yetu, kwa taarifa yako ccm ni wazuri sana wa kuunda/kutengeneza kashfa na kama mzee Mtei angekuwa ameachana na mwal Nyerere kwa hila au ghiliba basi ungeshazisikia siku nyingi habari zake na wala si leo, mzee Mtei alishindwa kuelewana na mwl Nyerere katika mbinu za kurekebisha uchumi na wala si vinginevyo (hivi unajua kwanini Kenya wametupita kwa sarafu yao kwa kasi namna hii, hebu tafiti inaanzia enzi hizo za Mtei ku-resign)
Sasa labda tujadili swala la cdm kutoka nje

1. Hivi unajua ukisema chama kinatoka nje inamaana kwamba kina usajili wa nchi nyingine labda ili tuchambue vizuri inabidi utujulishe kwanza kilisajiliwa wapi kabla ya kusajiliwa Tanzania.

2. Unaposema kukorofishana na mwl Nyerere ni kukosa adabu na akili sijui mtazamo wako ila labda niweke hivi tu kwamba kuna wengi walitofautiana na mwl Nyerere kwakuwa yeye hakuwa Mungu ila mwanadamu na alikuwa na makosa mengi na kama sivyo basi hatukupaswa kuongozwa na wengine angetawala milele, kumbuka chief Sarwat alitofautiana na mwl Nyerere hata akagombea ubunge kwa tiketi ya mgombea huru.

3. Hivi unajua nani aliyeleta maafa maandamano ya Arusha?? inavyoonekana wewe upo mbali na nchi hii, ungekuwa karibu wala hili usingelisema maana ccm kupitia spika wa bunge pia wameamua kunyamaza vinginevyo leo ushahidi wa Lema ungekuwa hadharani.

Ndg yangu hata jina lako linaonyesha jinsi unavyotumia ubongo wako vema kwa maana hakika nakushangaa, sasa ulitaka tujadili mada badala ya kuropoka naomba uniambie tu hao wanaojiita “intelijensia” sijui kama unajua wamekuwa wakifanya kazi kwa manufaa ya ccm na ndio chanzo cha mauaji ya Arusha, Pemba na kwingineko kutokana na taarifa zao kuwa za kisiasa badala ya maslahi ya nchi.

Sikushangai sana maana Tanzania ina watu waajabu kama wewe wengi tu, hata ccm ingewachukulia mpaka wake zao, watoto na kila kitu lakini bado wanaona ni sawa, wala sikuombei ufunguke, ila elewa tu kizazi tunacholea sasa hakitataka kusikia wala kuiona ccm..
 
Kushindwa kuelewana na mtu sio dhambi, na believe me, deep down wewe mwenyewe ni shahidi ni watu wangapi umetofautiana nao kimtizamo.Mwalimu wasn't an angle hivyo sio kila alichokua anafikiria kilikua right.Kingine wewe sio reliable source so hatuna sababu ya kuamini upuuzi wako. Put down your facts else shut the **** up.
 
Sio mwaka jana tu, hata maandamano wanayo fanya hivi sasa ni maagizo ya IMF. Jamaa hawa ni vibaraka si wenzetu mkuu

You are not intelligent, but you are gifted in stupid provacation!
 

Nilijua tu utafika kwenye vitu vya bure bure, ndio falsafa ya CDM. Fanya kazi ww , acha kupenda vitu vya bure bure uta.......... shauri yako !
 

why waste your precious time with a fool. people may not notice the difference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…