MUISRAELI atwaa medali ya Dhahabu huko Uarabuni

MUISRAELI atwaa medali ya Dhahabu huko Uarabuni

Nature

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
917
Reaction score
2,426
MUISRAELI AWATWANGA JUDO WAARABU NA KUSHINDA MEDANI YA DHAHABU HUKO ABU DHABI

WAGOMA KUWEKA WIMBO WA TAIFA WA ISRAEL

AAMUA KUIMBA MWENYEWE
5e3da0dff05e82e52858831da4a9c159.jpg


Kijana Myahudi Raia wa Israel Gili Cohen ameibuka mshindi katika Mchezo wa judo ulioandaliwa huko Mjini Abu Dhabi (UAE) kijana huyo a ambaye alikuwa pekee anayetokea israel aliwabwaga wapinzani wake wa Kiarabu na kufanikiwa kuwa Mshindi wa medani ya dhahabu.
2ed7e6d915fe2419e8adfe28caed5892.jpg

Israeli wins judo gold in UAE, which refuses to play anthem, raise flag
 
MUISRAELI AWATWANGA JUDO WAARABU NA KUSHINDA MEDANI YA DHAHABU HUKO ABU DHABI

WAGOMA KUWEKA WIMBO WA TAIFA WA ISRAEL

AAMUA KUIMBA MWENYEWE
5e3da0dff05e82e52858831da4a9c159.jpg


Kijana Myahudi Raia wa Israel Gili Cohen ameibuka mshindi katika Mchezo wa judo ulioandaliwa huko Mjini Abu Dhabi (UAE) kijana huyo a ambaye alikuwa pekee anayetokea israel aliwabwaga wapinzani wake wa Kiarabu na kufanikiwa kuwa Mshindi wa medani ya dhahabu.
2ed7e6d915fe2419e8adfe28caed5892.jpg

Israeli wins judo gold in UAE, which refuses to play anthem, raise flag
Waarabu wako legelege sana. Wao Hakuna kitu wanaweza.

Utadhani nchi za dunia ya 3.

Sasa wamegoma kuimba wimbo wa Taifa la Israeli. Ameimba mwenyewe.

Huu nauita ni ujasiri mkubwa sana wa huyu Muisraeli.
 
MUISRAELI AWATWANGA JUDO WAARABU NA KUSHINDA MEDANI YA DHAHABU HUKO ABU DHABI

WAGOMA KUWEKA WIMBO WA TAIFA WA ISRAEL

AAMUA KUIMBA MWENYEWE
5e3da0dff05e82e52858831da4a9c159.jpg


Kijana Myahudi Raia wa Israel Gili Cohen ameibuka mshindi katika Mchezo wa judo ulioandaliwa huko Mjini Abu Dhabi (UAE) kijana huyo a ambaye alikuwa pekee anayetokea israel aliwabwaga wapinzani wake wa Kiarabu na kufanikiwa kuwa Mshindi wa medani ya dhahabu.
2ed7e6d915fe2419e8adfe28caed5892.jpg

Israeli wins judo gold in UAE, which refuses to play anthem, raise flag

MUISRAELI atwaa medani ya Dhahabu huko Uarabuni
Discussion in 'International Forum' started by Nature, Today at 12:37 PM.

Mkuu badilisha heading na uandike Medali (Medal)
 
Waarabu wa ABU DHABI Wana upendo Sana mpaka kumkaribisha Muisraeli nyumban kwao, mpaka kuruhusu vijana wa kiarabu kushindana na Muisraeli. Aisee huu ni upendo wa ajabu Sana wanastahili kupongezwa. Waarabu wanakataa kabisa kupeana mkono na Muisraeli, hata kuingiza timu uwanjani kwa lengo LA kushindana na timu ya Israel wanakataa. Kuna mchezaji wa kiarabu aligoma kuamia timu flani kule Uingereza kisa inafundishwa na Muisraeli.
 
Waarabu wa ABU DHABI Wana upendo Sana mpaka kumkaribisha Muisraeli nyumban kwao, mpaka kuruhusu vijana wa kiarabu kushindana na Muisraeli. Aisee huu ni upendo wa ajabu Sana wanastahili kupongezwa. Waarabu wanakataa kabisa kupeana mkono na Muisraeli, hata kuingiza timu uwanjani kwa lengo LA kushindana na timu ya Israel wanakataa. Kuna mchezaji wa kiarabu aligoma kuamia timu flani kule Uingereza kisa inafundishwa na Muisraeli.
It depends...
 
Nasikia aliwapiga waarabu karibia awavunje shingo

Ujinga ukizindi matokeo yake haya Watu wako busy kuongea mambo ya faida ujahili unawatuma baadhi kupngelea mambo yakipumbavu .
 
Teh teh teh jamaa alitembeza kichapo mpaka jamaa wanagoma kupiga wimbo wa taifa
 
Back
Top Bottom