MUISRAELI atwaa medali ya Dhahabu huko Uarabuni

MUISRAELI atwaa medali ya Dhahabu huko Uarabuni

Nasikia aliwapiga waarabu karibia awavunje shingo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ubaradhuli tu. Midomo michafu kama choo cha mnaz n'gombe.
Watu wenye akili wanatosha mabaradhuli majahil watabakia kutoa midimoni harufu za chooni
 
Waarabu wako legelege sana. Wao Hakuna kitu wanaweza.

Utadhani nchi za dunia ya 3.

Sasa wamegoma kuimba wimbo wa Taifa la Israeli. Ameimba mwenyewe.

Huu nauita ni ujasiri mkubwa sana wa huyu Muisraeli.

Ujinga kazi..,
 
Naona waarabu weusi wameanza kuja juu....!!!!!!!

a70d2f452c7440d1a59887d301215f5c.jpg
 
Bob Marley myahudi lakini ni mjamaica, Beckham myahudi lakini mu england , drake mcanada lakini myahudi, Rambo myahudi lakini muamerica , bwana MKABERA uyahudi siyo race ni blood heritage , kuna waarabu kibao wanaasili ya kiyahudi usikalili
 
Huyo unamuona ana sura ya kiyahudi?
Huyo ni Mwarabu anaeishi Palestina iliyokaliwa na mabavu
Kama kuna taifa lina utata wa rangi zao basi ni hawa jamaa; Wayahudi kwa maana ya Jews blood wapo wa kila rangi, wapo Waarabu, wazungu, weusi kama sisi, weusi chotara na hata kama wahindi hindi hivi. Yasemekana moja kati ya sababu kwanini Wayahudi hawakufa kwenye lile shambulio la September 11 kule USA ni kwamba Osama alisajiri Wayahudi wengi sana akidhani ni waarabu wenzie ili hali wao walikua ni Wayahudi pure wenye uraia wa nchi za Kiarabu kama Iran, Saudia, Iraq nk na ni hao ndio walio likisha information kwa Mossaid (shirika la ujasusi la Israel) kuhusu hilo shambulio and hence Marabi (viongozi wa kidini kama ilivyo maaskofu kwa wakristo) wa USA waliwatangazia Wayahudi wafanyao kazi WTC kutokwenda kazini on the said date/day. So usimshangae huyo mkuu, hao ndio Wayahudi na utata wa rangi yao.
Nasikia hata yule raisi wa kabala ya huyu wa Iran nae ni Myahudi, alikua anaitwa Ahmenajab.
 
Vyombo vya habari vinasema myahudi wewe unakataa.....
Umekariri Muisrael ni lazima awe Mweupe na kama mzungu
Wayahudi kuna mpaka weusi kabisa kama waafrika....acha kukariri mkuu
99eb074ddc7431616594e98dffb6eb35.jpg

Pichani hapo ni Raisi wa Israel Reuven Rivlin akiwasalimia baadhi ya wanajeshi wa Israel katika sikukuu ya Mashujaa huko kwao...
Ukiangalia picha vizuri kuna Wengine ni weusi kabisa....

Unaposikia mtu anasema wayahudi usikimbilie Kuangalia ngozi ya mwili kuna wayahudi wapo wengi duniani lakini siyo raia wa Israel..
Mfano
Aliyekuwa mmiliki wa Manchester United Malcom Glazer alikuwa myahudi lakini alikuwa ni Raia wa Marekani....wala hakuwahi kuishi Israel...

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich naye ni Myahudi Japokuwa ni Raia wa Urusi.....akienda israel ni kama mtalii tu

Mmiliki wa Facebook Mark Zuckerberg ni Myahudi lakini anaishi ni Raia wa USA

Aliyekuwa Raisi wa USA Bill clinton naye alikuwa Myahudi

Badu kuna watu wengine weusi kabisa na wengine ni Waarabu lakini ni Raia wa Israel na wanatumikia Taifa lao katika nyanja muhimu ikiwemo Jeshini, Na Idara za Kijasusi za Taifa lao.....

Kwanini nijishughulishe na kuchunguza ujinga? Umbea unafiki ufedhuli - hii yote ni ubaradhuli.Bora nifikirie jinsi ya kuinua business au elimu au ya Akhera. Hii sinsila ya ujinga itanisaidia nini?
 
Dah watanzania bwana,,,badala tushughulike kuleta maendeleo____eti inawashobokea wayahudi wakati ni ma-mbwa au ukipenda dogs mwenye sura mbaya kama nini😀yanayoikalia ardhi ya watu kimabavu. Pumbafu zao
 
Back
Top Bottom