Jamani kabla kuawa Gadaf,ilibia ilikuwa mahala pazuri,Nato wakawasaidia waasi na kumuondoa Gadaf,na hivyo ndio ilikuwa Iraq,uvamizi wa Us na washirika wake ambao umeicha nchi ktk mauaji yasiyokoma,Bush aliosababisha anakula bata mwenzie Sadam kaburini.Hali ni tete wazungu ondokeni na mrudi kwenu kwani nilazima mkae vitani Looh