Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mshauri mwandamizi wa rais na mtoto wa Rais Yoweri Museveni, ameibua tena gumzo nchini baada ya kutangaza wazi nia yake ya kuwania urais kupitia ujumbe wa mitandaoni wenye kauli ya kidini.
"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, nitakuwa Rais wa nchi hii baada ya baba yangu," aliandika Jenerali Muhoozi Jumanne jioni, Julai 16.
"Kwa jina la Yesu Kristo Mungu wangu, nitakuwa Rais wa nchi hii baada ya baba yangu," aliandika Jenerali Muhoozi Jumanne jioni, Julai 16.