Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa Bungeni. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi...

Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba Bunge limemvua madaraka ya uwaziri
 
Kwa hyo waziri hawajibiki kwa bunge? Iweje wakati wa oparesheni tokomeza mawaziri waliwajibika kwa bunge bila kusubiri uamuzi wa mamlaka ya uteuzi wao? Au hizi sheria zikoje? Tundu Lissu nisaidie kwa hili tafadhari mimi ni bush lawyer kama makinda
 
Hajui nguvu ya Mengi huyo...tangua alivyotukana wana mtwara ana laana...huwezi kusema watanzania wana uwezo wa kuuza machungwa tu
 
Bunge halina mamlaka ya kumuondoa waziri wa kawaida isipokuwa waziri mkuu.muhongo anaposema bado ni waziri yuko sahihi.akina kagasheki walijiuzuru kwa agizo la rais kwa njia ya simu alipomuagiza pinda atoe taarifa bungeni.kwa kuwa muhongo hataki kujiuzulu atabaki waziri hadi rais amtimue.
 
Kwa hyo waziri hawajibiki kwa bunge? Iweje wakati wa oparesheni tokomeza mawaziri waliwajibika kwa bunge bila kusubiri uamuzi wa mamlaka ya uteuzi wao? Au hizi sheria zikoje? Tundu Lissu nisaidie kwa hili tafadhari mimi ni bush lawyer kama makinda
Wale walikubali kujiuzulu, hawa akina Mongo wamegoma kujiuzulu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Kwa hyo waziri hawajibiki kwa bunge? Iweje wakati wa oparesheni tokomeza mawaziri waliwajibika kwa bunge bila kusubiri uamuzi wa mamlaka ya uteuzi wao? Au hizi sheria zikoje? Tundu Lissu nisaidie kwa hili tafadhari mimi ni bush lawyer kama makinda

Muhongo na wenzake waligoma kujiuzuru wao wenyewe hadi raisi awafukuze.akina nchimbi walikubali yaishe hawakutaka malumbano.

Werema na muhongo si unajuwa wakutoka kule kwetu?
 
Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa. Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa bunge. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi... Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto. Haamini kwamba bunge imemvua madaraka ya uwaziri

Alivyosema ndivyo ilivyo kwakuwa hakujiuzuru. Mpaka Rais amfute kazi. Rejea maazimio ya Bunge ni mapendekezo kwa mamlaka husika.
 
Alitaka kushindana na nguvu ya pesa sasa anakiona cha mtema kuni. Akitolewa tu utasikia Mengi kamegewa kipande cha gesi

Nyinyi watanzania mtaendelea kuwa wajinga sana,sasa kila mmoja anajua pesa ndo imetumiwa kuwaondoa hawa watu alafu mnashabikia wakati huohuo mnataka waje watu wasafi,watatoka wapi na wakati pesa ndo inatumika? na ukishatumia pesa unawezaje kutengeneza mfumo wa haki katika utawala? anyway,leo mnamshabikia Mengi kamtoa Mhongo lakini siku si nyingi mtayaona mda ukifika ..ni fitina,chuki,unafiki,ghiriba dhidi ya watu
 
....tangu amtukane na kumshusha katibu wake wakati ana present mada mbele ya international figures (sikumbuki wapi) nilimtoa thamani palepale...
 
Nasikia hata shetani naye anashindana na Mungu na kuendelea kudaganya watu mpaka mwisho wa millenia.
 
Back
Top Bottom