promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
[h=2]
[/h]
Habari za kazi wana MMU,
Leo nimesikitishwa na wanawake wawili hapa kazini wanao gombea mwanamme mmoja,kwanza ilikua wanafanya siri
Mpaka ikawa kila mmoja anamjua mwenzie sasa yakaanza mashindano ya kugawa zawadi kwa mwanamme,Ghaliyah
Kanunua set bed room set Wafaa akanunua Sofa set imekwenda mpaka Ghaliyah kwao mambo safi kamnunulia bwana
BMW X5 mpya Wafaa hana jeuri hiyo,gari bwana kapewa kama siku 10sasa leo asubuhi kwenye mkutano ndio tiffu
likaanza bwana anavutwa huku mara anavutwa na yule Wafaa akawa anamtukana mwenzie "Mie sio wewe mpaka
Nihonge gari ndio nitakiwe kaa ukijua mwanamke mapenzi"
Ghaliyah akacheka kwa dharau sana akajibu" Muhonge vya thamani mwanamme uone kama atachomoa kwako"
Nikashanga sana wanavyojibizana kisa mwanamme,na yule bwana anacheka yani Wafaa karoa anakigari kama changu
cha mwaka 47 huko, uzuri huyu bwana tunaheshimiana sana nikamuita kumwambia alivyofanya sio sawa
Akanambia wote wanajigonga nasipendi kumuudhi hata mmoja katika wao na nilishawambia wanajua bwana karibuni anawacha kazi na hakuna hata mmoja anaejua.
swali langu waungwana ivi wanawake wengine inakuwaje wanakua na ujinga kama huu? kwani wanaume hakuna?
Leo nimesikitishwa na wanawake wawili hapa kazini wanao gombea mwanamme mmoja,kwanza ilikua wanafanya siri
Mpaka ikawa kila mmoja anamjua mwenzie sasa yakaanza mashindano ya kugawa zawadi kwa mwanamme,Ghaliyah
Kanunua set bed room set Wafaa akanunua Sofa set imekwenda mpaka Ghaliyah kwao mambo safi kamnunulia bwana
BMW X5 mpya Wafaa hana jeuri hiyo,gari bwana kapewa kama siku 10sasa leo asubuhi kwenye mkutano ndio tiffu
likaanza bwana anavutwa huku mara anavutwa na yule Wafaa akawa anamtukana mwenzie "Mie sio wewe mpaka
Nihonge gari ndio nitakiwe kaa ukijua mwanamke mapenzi"
Ghaliyah akacheka kwa dharau sana akajibu" Muhonge vya thamani mwanamme uone kama atachomoa kwako"
Nikashanga sana wanavyojibizana kisa mwanamme,na yule bwana anacheka yani Wafaa karoa anakigari kama changu
cha mwaka 47 huko, uzuri huyu bwana tunaheshimiana sana nikamuita kumwambia alivyofanya sio sawa
Akanambia wote wanajigonga nasipendi kumuudhi hata mmoja katika wao na nilishawambia wanajua bwana karibuni anawacha kazi na hakuna hata mmoja anaejua.
swali langu waungwana ivi wanawake wengine inakuwaje wanakua na ujinga kama huu? kwani wanaume hakuna?