The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,885 Aug 30, 2012 #81 King'asti said: Hebu try me! Mshahara nakuwekea kwenye joint account ujihonge mwenyewe bila jasho! (usijisahaulishe ile issue braza, ntakusemelezea kwa Kongosho manake keshaandika talaka moja) Click to expand... ha haa talaka moja?
King'asti said: Hebu try me! Mshahara nakuwekea kwenye joint account ujihonge mwenyewe bila jasho! (usijisahaulishe ile issue braza, ntakusemelezea kwa Kongosho manake keshaandika talaka moja) Click to expand... ha haa talaka moja?
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Aug 30, 2012 #82 The Boss said: ha haa talaka moja? Click to expand... Ukisema suuu, anaandika ya pili inabaki moja uachike
The Boss said: ha haa talaka moja? Click to expand... Ukisema suuu, anaandika ya pili inabaki moja uachike
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,656 68,605 Aug 30, 2012 #83 Ukiweza kupiga Game haswahaswa ya kuweza kumdatisha demu mbona utaringa!!! Tupige show jamani za kufa mtu na sie tuongwe hata vitz!!
Ukiweza kupiga Game haswahaswa ya kuweza kumdatisha demu mbona utaringa!!! Tupige show jamani za kufa mtu na sie tuongwe hata vitz!!
M makirikiri-2 Member Jun 17, 2011 20 2 Aug 30, 2012 #84 duuuuhhh!!!!!!Elizabeth Dominic!!!!!!umenifurahisha ntandikie mie kigodoro manake nshagombaniwa sana!!!kisa shughuli,si unajua tena ufundi kunapo majambo 6x6
duuuuhhh!!!!!!Elizabeth Dominic!!!!!!umenifurahisha ntandikie mie kigodoro manake nshagombaniwa sana!!!kisa shughuli,si unajua tena ufundi kunapo majambo 6x6