Wapi? miye mbara tena chinga................hila wanvutia kwa madoido yao hao.......ati! Shufaa kumbe ni apple?
nini Twaiba kuna vitu vya Milhat Humaymat,Farhiya,Hyrat,Najat,Hytham,Zulekha,Suhaila..............
nakumbuka haka kasentensi,'simba akimla binadamu ni habari ila binadamu akila simba ni habari kubwa sana'
Hana kipato kikubwa nyumba alipewa zakazini furniture ndio katiliwa na wanawake yani hata kama mshahara wako mdogo
japo siku moja jinyime uwape wenzio japo offer ya lunch hakuna kwa bwana yule,lakini yeye hasubiri kualikwa akiwasikia mnaenda kule sehemu huyo keshaingia kwenye mkumbo...
Hahahaaah!! Atakuwa labda ni huyo aliyezidiwa kete.Japokuwa hujanitaja jina ila sio fresh mambo ya ofisini kuyaleta humu jamvini, ulifikiri sipitagi humu nini?
- kama kuhongwa si na hongwa mie.. Kwa kuanzia kesho naanza upepelezi hapo ofisini nitakubaini tu
Ahlam...
Yalah..............heri Zakia je ungejegundua aitwa Mwanaukindu
EEEEEEeeeh mmeona eeeeh
Siku hizi wanaume adimu bhana.....
Mpaka tunahongwa ma-vogue duh...
Ahhhh umezowea kupewa babu weye ebu toa na weye japo siku moja....lolJapokuwa hujanitaja jina ila sio fresh mambo ya ofisini kuyaleta humu jamvini, ulifikiri sipitagi humu nini?
- kama kuhongwa si na hongwa mie.. Kwa kuanzia kesho naanza upepelezi hapo ofisini nitakubaini tu
Mwenzangu huyu bwana niujuaji wake na alivyo waweka hao ma zuzu wake wengine wala hawahongi gari utaishia na chupa za perfume na nguo mara saa hakuna zaidi ya hapo...mwanamke kagawa X5? aisee hizo ofisi zenu zipo wapi nije na mie kutongozwa :biggrin1:
[h=2][/h]Habari za kazi wana MMU,
Leo nimesikitishwa na wanawake wawili hapa kazini wanao gombea mwanamme mmoja,kwanza ilikua wanafanya siri
Mpaka ikawa kila mmoja anamjua mwenzie sasa yakaanza mashindano ya kugawa zawadi kwa mwanamme,Ghaliyah
Kanunua set bed room set Wafaa akanunua Sofa set imekwenda mpaka Ghaliyah kwao mambo safi kamnunulia bwana
BMW X5 mpya Wafaa hana jeuri hiyo,gari bwana kapewa kama siku 10sasa leo asubuhi kwenye mkutano ndio tiffu
likaanza bwana anavutwa huku mara anavutwa na yule Wafaa akawa anamtukana mwenzie "Mie sio wewe mpaka
Nihonge gari ndio nitakiwe kaa ukijua mwanamke mapenzi"
Ghaliyah akacheka kwa dharau sana akajibu" Muhonge vya thamani mwanamme uone kama atachomoa kwako"
Nikashanga sana wanavyojibizana kisa mwanamme,na yule bwana anacheka yani Wafaa karoa anakigari kama changu
cha mwaka 47 huko, uzuri huyu bwana tunaheshimiana sana nikamuita kumwambia alivyofanya sio sawa
Akanambia wote wanajigonga nasipendi kumuudhi hata mmoja katika wao na nilishawambia wanajua bwana karibuni anawacha kazi na hakuna hata mmoja anaejua.
swali langu waungwana ivi wanawake wengine inakuwaje wanakua na ujinga kama huu? kwani wanaume hakuna?