Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,136
- 4,297
Tupeane tafsiri kidogo wa wataalamu wa lugha na sanaa, tukatazame kidogo baadhi ya vipande vya mashairi ya wimbo wa Bi. Kidude uitwao "Muhogo wa Jang'ombe"
Nini maana ya muhogo wa Jang'ombe?
Bi Kidude anaposema "Sijaulamba mwiko" anamaanisha nini?
"Tutahadhari na mwiko wakati wa kupakua"; hapo alimaanisha nini?
Kuna sehemu anasema "Kamfunge baba yenu wa Athumani, mfunge pahala pana mwana ndani"; alikusudia nini hapa ?
Patamu zaidi pale aliposema, walimwengu kila mmoja na lake, dah tupeane tafsiri kidogo kidogo.
Nini maana ya muhogo wa Jang'ombe?
Bi Kidude anaposema "Sijaulamba mwiko" anamaanisha nini?
"Tutahadhari na mwiko wakati wa kupakua"; hapo alimaanisha nini?
Kuna sehemu anasema "Kamfunge baba yenu wa Athumani, mfunge pahala pana mwana ndani"; alikusudia nini hapa ?
Patamu zaidi pale aliposema, walimwengu kila mmoja na lake, dah tupeane tafsiri kidogo kidogo.