Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,583
- 60,991
Mngefika ulingoni ili tuone uwezo wake wa uhinilivu.Utawapenda wote watakaokuja?
Maandiko yanasema, pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.Utawapenda wote watakaokuja?
Dunia ni sehemu ya furaha, muhimu wote wafurahie kuwepo duniani.Mambo ya k na nduguye sio....
Hakika undugu udumu milele
Mambo ya gamboshi tenaa..MALKIA WA GAMBOSHI embu pita na huku
Udugu wa K na ndunguye siku hizi umeingia mdudu helaMambo ya k na nduguye sio....
Hakika undugu udumu milele
shenzi halafu sikujua kama ni mimi 🤣MALKIA WA GAMBOSHI embu pita na huku
Hizi dharau za wazi mkuu🤣🤣🙌🏾Wapo humu waliokwisha jikatia tamaa, kutokana na kutokusemeshwa maneno mazuri mazuri na mabaharia.
Huwa wanatongoza midume yenye IDs za kike wakidhani ni wanawake.kwahiyo huwa mnatongozana ukweli ukweli humu?
Na kumwagiana uji twamwagiana kipenzi🤓😋kwahiyo huwa mnatongozana ukweli ukweli humu?
aiseeee mi naonaga onaga nahisi ni utani tu wa hapa na pale loh kumbe sio😄Na kumwagiana uji twamwagiana kipenzi🤓😋
hahahah kwan si huwa wanakutana au mitongozo inaishiaga huku huku JFHuwa wanatongoza midume yenye IDs za kike wakidhani ni wanawake.
Hivi kusex na mtu mnayependana ni ajabu eti? 🤭aiseeee mi naonaga onaga nahisi ni utani tu wa hapa na pale loh kumbe sio😄
hapan sio ajabu kabisa ila zile style plus miguno wakati wa sex ndo inachekesha😅Hivi kusex na mtu mnayependana ni ajabu eti? 🤭
haiombwi hivyo gentleman 🐒Kuna warembo humu, watu wanawaogopa kuwatongoza na kuwanyima haki yao ya msingi ya kupendwa.
Wapo humu waliokwisha jikatia tamaa, kutokana na kutokusemeshwa maneno mazuri mazuri na mabaharia.
Kupitia uzi huu, nimeamua kuwa mkombozi wenu; kama wewe ni mrembo mkali unayejiamini, na watu wanakuogopa kukutongoza, ebu njoo hapa tutete jambo, haki yako ya msingi ni kupendwa.
Muhimu tu, tusipigane mizinga.