Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 918
- 1,994
*Kampeni zinaanza tar 22/08/2015.
*Kampeni zinafungwa tar 24/10/2015
*Tar 25/10/2015 Siku ya uchaguzi .
*Tar 26/10/2015 matokeo ya uchaguzi yatatangazwa.
* Kampeni zitafanyika kwa jumla ya siku 70.
* Nchi ina mikoa 30,
* Kuna jumla ya majimbo 240,
* Kuna kata 2,880
* Kuna vijiji 19,800
Hivyo basi, ili mgombea ahutubie nchi nzima, ina maana anatakiwa ahutubie wilaya 3.5 kwa siku, anatakiwa ahutubie Kata 41 kwa siku (kila siku) na pia anatakiwa ahutubie vijiji 282 kwa siku.
Hili limekaaje wadau, linawezekana!?
*Kampeni zinafungwa tar 24/10/2015
*Tar 25/10/2015 Siku ya uchaguzi .
*Tar 26/10/2015 matokeo ya uchaguzi yatatangazwa.
* Kampeni zitafanyika kwa jumla ya siku 70.
* Nchi ina mikoa 30,
* Kuna jumla ya majimbo 240,
* Kuna kata 2,880
* Kuna vijiji 19,800
Hivyo basi, ili mgombea ahutubie nchi nzima, ina maana anatakiwa ahutubie wilaya 3.5 kwa siku, anatakiwa ahutubie Kata 41 kwa siku (kila siku) na pia anatakiwa ahutubie vijiji 282 kwa siku.
Hili limekaaje wadau, linawezekana!?