Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Matokeo tarajiwa
• Nchi kupata katiba ya wananchi itakayoharakisha
maendeleo yao na kuwa na Muundo wa Muungano
14
Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA2015
unaozingatia haki kwa Tanganyika na Zanzibar
• Wananchi wenye kuwajibika na kuwajibishana katika
shughuli za maendeleo
• Mapato kuongezeka kutokana na kupunguza matumizi
ya serikali na kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma
• Nchi kuwa katika mchakamchaka (mwamko,
matumaini na hamasa mpya katika utendaji wa kazi)
kuelekea maendeleo ya kweli ya kiuchumi, kisiasa,
kijamii na kiutamaduni.
• Nchi kupata katiba ya wananchi itakayoharakisha
maendeleo yao na kuwa na Muundo wa Muungano
14
Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA2015
unaozingatia haki kwa Tanganyika na Zanzibar
• Wananchi wenye kuwajibika na kuwajibishana katika
shughuli za maendeleo
• Mapato kuongezeka kutokana na kupunguza matumizi
ya serikali na kuzuia ubadhirifu wa fedha za umma
• Nchi kuwa katika mchakamchaka (mwamko,
matumaini na hamasa mpya katika utendaji wa kazi)
kuelekea maendeleo ya kweli ya kiuchumi, kisiasa,
kijamii na kiutamaduni.