Kwa kufuatilia matukio tu nadhani CDM waanze kufikiria kuwa na Makao makuu au Kuamishia shughuli za Chama katika mikoa ambayo ni Ngome. Kikubwa waangalie influence ya hayo maeneo...Mkoa kama Mwanza, Mbeya, Shinyanga Arusha nadhani ni strategic kuliko kung'ang'ania Dar es slaam.
Kwa sababu ni gharama sana kuwafikia wananchi ya mikoani kutoka Dar, ni vyema CDM wafikirie kuweka shughuli za kichama karibu na ngome zao, hii itarahisisha sana Harakati za kukiimarisha chama.
Naamini kutoka mkoani ni rahisi kuiteka Dar es salaam mana ni mji ulio na mchanganyiko sana...kama CDM itakubalika na watu wa kanda ya Ziwa, hawa watu wapo Dar es salaam pia so ni rahisi kuingia, lakini watu wa mkoani wakifikiri CDM na viongozi wao wanakimbilia Dar wataona sio chama cha kuwatetea mana viongozi wanajilimbikiza Dar.
Hii ni strategy ambayo nadhani itakuwa ngumu kwa vyama vingi kufuata....na tukubali kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi kila chama kina ngome yake.....so CDM wasijisahaukuwekeza kwenye ngome yao....
Alternative kwa vile CDM sera yao ni ya majimbo basi waanze sasa kubadili mfumo wa chama na kuwe na CDM kila kanda ambayo shughuli zake za kisiasa zitakuwa huru bila kuingiliwa na makao makuu....so tuwe na CDM nyanda za juu, CDM kanda ya Ziwa etc.....hii pia itasaidia kuwafanya wananchi wa maeneo hayo wajisikie kuimiliki na kumiliki sera kuliko maamuzi yote kufanyika Dar na kutumwa mikoani....
Kwa sababu ni gharama sana kuwafikia wananchi ya mikoani kutoka Dar, ni vyema CDM wafikirie kuweka shughuli za kichama karibu na ngome zao, hii itarahisisha sana Harakati za kukiimarisha chama.
Naamini kutoka mkoani ni rahisi kuiteka Dar es salaam mana ni mji ulio na mchanganyiko sana...kama CDM itakubalika na watu wa kanda ya Ziwa, hawa watu wapo Dar es salaam pia so ni rahisi kuingia, lakini watu wa mkoani wakifikiri CDM na viongozi wao wanakimbilia Dar wataona sio chama cha kuwatetea mana viongozi wanajilimbikiza Dar.
Hii ni strategy ambayo nadhani itakuwa ngumu kwa vyama vingi kufuata....na tukubali kuwa kwenye mfumo wa vyama vingi kila chama kina ngome yake.....so CDM wasijisahaukuwekeza kwenye ngome yao....
Alternative kwa vile CDM sera yao ni ya majimbo basi waanze sasa kubadili mfumo wa chama na kuwe na CDM kila kanda ambayo shughuli zake za kisiasa zitakuwa huru bila kuingiliwa na makao makuu....so tuwe na CDM nyanda za juu, CDM kanda ya Ziwa etc.....hii pia itasaidia kuwafanya wananchi wa maeneo hayo wajisikie kuimiliki na kumiliki sera kuliko maamuzi yote kufanyika Dar na kutumwa mikoani....