FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Jana asubuhi muhimbili wamefanya kituko kingine kwa ku declare bint mmoja wa kichaga kuwa mfu, mume wa marehemu akaachwa hoi na breaking news hiyo. Kijana akawaarifu wafanyakazi wenzake na wazazi wa marehemu mkewe na safari ya kuanzisha maombolezo nyumbani ikatimu huku akimwacha ndg yake na rafiki mkubwa akiendelea na kuratibu utunzaji wa mwili.
Mwili ukachukuliwa kwa mujibu wa taratibu za mogue operators wa muhimbili huku shemejie akiongozana na wadau wa mogue ghafla shemeji akahisi life fighting ktk mchakato wa uhifadhi.
Akahoji na kuidadisi hali hiyo, lucky enough wadau wa mogue wakaikubali hoja ya shem, mdada kumbe yu hai @@. Je ni muujiza au bahati kwa huyu bint?
Kama shem asingelikuwapo nini kingejiri? Je dr muhusika amelihandle vipi jambo kabla na baada, Muhimbili kulikoni?
Acheni mungu aitwe Mungu
Mwili ukachukuliwa kwa mujibu wa taratibu za mogue operators wa muhimbili huku shemejie akiongozana na wadau wa mogue ghafla shemeji akahisi life fighting ktk mchakato wa uhifadhi.
Akahoji na kuidadisi hali hiyo, lucky enough wadau wa mogue wakaikubali hoja ya shem, mdada kumbe yu hai @@. Je ni muujiza au bahati kwa huyu bint?
Kama shem asingelikuwapo nini kingejiri? Je dr muhusika amelihandle vipi jambo kabla na baada, Muhimbili kulikoni?
Acheni mungu aitwe Mungu