Muhas jamani mbona havoo

Muhas jamani mbona havoo

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
274
Reaction score
549
mbona mnatunyima option ya reapply sasa kama hamuitoi basi tupeni status hiyo kwenye profile zetu tujue cha kufanya maana siku zinaisha
 
mbona mnatunyima option ya reapply sasa kama hamuitoi basi tupeni status hiyo kwenye profile zetu tujue cha kufanya maana siku zinaisha
Nenda physically ukawaone! manyangau hayo Muhas!
 
Muhas wanazingua sana...eti wanataka kanza kuapply upya yaani ulipie upya
Mbona kama ni wapigaji hawa
 
Back
Top Bottom