mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,334
- 57,149
sasa kama hao wayahudi waliwapinga na kuwauwa mitume yao.kwanini wasilaaniwe?hao si ndo walimuita yesu mtoto wa zinaa?Kwa Akili ya kawaida kabisa, Uislam unapinga na kuwalaani vikali wayahudi ambapo Ibrahimu na ukoo wake umetokea. Litakuwa jambo la ajabu mnoo kumuhususha Muhamad na nasaba za koo za kiyahudi.
bado nina FICHUA UONGO WAKO🤣🤣🤣🤣.Hilo li Roboti ndio waona lasema kweli?
Hapo limerejea kutokana na propaganda zilizo kwenye vyanzo vya kiislamu
Hata lile jiwe jeusi linajulikana kabisa kihistoria ni la wapagani, Ibrahim wala Ishamael hawajawahi kufika hapo
Ila CHATGPT litakujibu kulingana na vyanzo vya kiislamu,mpaka ulibane vzr ndio litakwambia ukweli
CHATGPT limeumdwa kulinda maslahi ya hizi dini zenu ,halitakiwi kufanya uchochezi,
MPAKA uliweke kwenye angle ,
Upo sahihi kabisa nasaba ya Yesu ndio ipo sahihi kuliko wengine.Nasaba ya Yesu ni hakika iliyothibitishwa kihistoria na kiimani. Imeandikwa kwa uangalifu mkubwa, ndani ya maandiko yanayoaminika (Biblia), na kuthibitishwa na mila za Wayahudi ambazo zilikuwa makini sana katika kutunza vizazi. Tofauti na wengine, Yesu ndiye pekee ambaye kizazi chake kimewekwa kwa ukamilifu kutoka Adamu hadi kwake, na kuthibitishwa kama Masihi aliyeahidiwa. Hakuna mfano mwingine kama huu katika historia ya dini kuu.
Ukitafuta nasaba iliyo salama, iliyohifadhiwa, na yenye maana kiimani basi ni ya Yesu tu.
Awe au asiwe, inatusaidia. nini?Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,
Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,
Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?
Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.
Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:
Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.
Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,
Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.
Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:
Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.
Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:
Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:
Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.
Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)
Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.
Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.
Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.
Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,
Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo
TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU
Tukisema shule ni muhimu ,na uislamu umejengwa kwa propaganda mnatuona tuna chukina hapo vp🤣🤣.huna hoja wewe
🤣🤣🤣yani wewe ndo unaonesha elimu hunaaa.kwa koment yako hii.Tukisema shule ni muhimu ,na uislamu umejengwa kwa propaganda mnatuona tuna chuki
Kutoka Ishamael had Muhammad ni miaka zaidi ya 3000
Wewe unaendeleza propaganda za hiyo family tree ya vizazi 25 tu,
Huoni hata aibu ?
Muhammad mwenyewe alikataa ,
kwa hyo unataka zisapoti matope yako🤣🤣.Ndio propaganda tunazokataza hapa ,
KWAHIYO MUDI NI MUONGO ILA NYIE WAHUNI NDIO WAKWELI?bado nina FICHUA UONGO WAKO🤣🤣🤣🤣.
(Watu wote wana nasaba zao zinazofikia Adnan, kisha mambo yanakatika hapo.)"Al-nāsu ilā Adnān mabtūrūn."
(Watu wamekosea sana katika kunukuu nasaba yangu. Hakuna kilicho sahihi juu ya Adnan.)"Kada kathaba al-nās fī nasabi, famā fawqa Adnān lā yasihhu shay’."
Kwamba mudi alikuwa muongo?🤣🤣🤣yani wewe ndo unaonesha elimu hunaaa.kwa koment yako hii.
(Watu wote wana nasaba zao zinazofikia Adnan, kisha mambo yanakatika hapo.)"Al-nāsu ilā Adnān mabtūrūn."
(Watu wamekosea sana katika kunukuu nasaba yangu. Hakuna kilicho sahihi juu ya Adnan.)"Kada kathaba al-nās fī nasabi, famā fawqa Adnān lā yasihhu shay’."
Wewe ni tapelikwa hyo unataka zisapoti matope yako🤣🤣.
achana na uislam hauuwezi.wenzio wengi walijaribu ukawatoa jasho
"Kila mtu anayejidai kujua vizazi vya kati ya Adnan na Ismail basi huyo anazua mambo yasiyothibitika. Hakuna hadith sahihi au sanad imara juu ya hilo."
adnan baba yake nani?Kwamba mudi alikuwa muongo?
Kauli ya Mtume Muhammad Kuhusu Nasaba:
Imepokelewa katika Sahih al-Bukhari (Hadith ya Ibn Abbas):
(Watu wote wana nasaba zao zinazofikia Adnan, kisha mambo yanakatika hapo.)
— Al-Bukhari, Kitabu cha Maghazi.
Na pia:
(Watu wamekosea sana katika kunukuu nasaba yangu. Hakuna kilicho sahihi juu ya Adnan.)
Kijana kaa usome dini yako ,usimezeshwe uongo na masheikh Hawa wahuni ,🤣🤣🤣yani wewe ndo unaonesha elimu hunaaa.kwa koment yako hii.
(Imepokewa na Ibn Sa’d na wengine)"Yeyote atakayejitahidi kuunganisha nasaba yake hadi kwa Adam basi huyo ni mwongo."
Ujue nyie jamaa karne hii mtaumbuka sanabado nina FICHUA UONGO WAKO🤣🤣🤣🤣.
"Wanazuoni wamekubaliana kwamba ukoo wa Mtume hadi Adnan ni sahihi, lakini hawakubaliani juu ya vizazi kutoka Adnan hadi Ismail, na hakuna ushahidi wa kuaminika (marfu') kwa hilo."
Hadith ya Ibn Abbas – Bukhari (Maghazi):kwa hyo unataka zisapoti matope yako🤣🤣.
achana na uislam hauuwezi.wenzio wengi walijaribu ukawatoa jasho
(Watu wote wanaweza kufuatiliwa hadi Adnan, kisha mambo yanakatika hapo.)"Al-nāsu ilā Adnān mabtūrūn."
Mtume mwenyewe alizuia nasaba kupitiliza zaidi ya Adnan.bado nina FICHUA UONGO WAKO🤣🤣🤣🤣.
Labda niandike hivi ili unielewe vyema:sasa kama hao wayahudi waliwapinga na kuwauwa mitume yao.kwanini wasilaaniwe?hao si ndo walimuita yesu mtoto wa zinaa?
nimekuuliza adnan baba yake naniKijana kaa usome dini yako ,usimezeshwe uongo na masheikh Hawa wahuni ,
Imam Malik bin Anas alisema:
(Imepokewa na Ibn Sa’d na wengine)
kwa hyo kukaa kimya kwa wakristo juu ya uovu wa wayahudi ndo una ona wako sahihi?Labda niandike hivi ili unielewe vyema:
Pamoja na tabia zote za kiyahudi hatujawahi kusikia hata mara moja wakristo wakilaani wayahudi na kutaka waangamizwe, na wakristo wanakiri wazi kuwa misingi ya baraka za kiimani zinatokea kwa wayahudi, maana wanajua msingi wa imani yao na Mungu wanayemuabudu ana mizizi ya kiyahudi kwa 100%.
Hali ni tofauti kabisa kwa uislamu na mafundisho yote ya kiislamu ambayo yamejikita kuwalaani na kuwabeza wayahudi kwa karibu kila kitu huku yakiwahusudu waarabu.
Sasa yatakuwa maajabu makubwa mnoo, katika mazingira hayo tuambiwe Mohamad ana vinasaba vya kiyahudi.
Umeuliza swali ambalo wanazuoni wamelijibu vzr sana ,adnan baba yake nani?