Muhammad hakuwahi kufika Yerusalemu

Muhammad hakuwahi kufika Yerusalemu

Unaaminije huu uzushi na uongo

Ok ngoja nikuulize kwa mujibu wa vitabu vyenu

1. Kama Msikiti wa Al-Aqsa haukuepo wakati wa safari ya Israa, na ujenzi wake ulianza miaka 70 baada ya kifo cha Muhammad, vipi unathibitishaje kwamba Muhammad alipelekwa Yerusalemu na aliona msikiti huo kama ulivyosema?


2. Katika Hadith za Israa na Miraj, haijatajwa wazi kuwa Muhammad alikutana na manabii wote au aliswalisha nao, kwa hivyo, je, unaweza kuthibitisha kwa Qur'an au Hadith sahihi kuwa manabii wote walikusanyika Yerusalemu wakati wa safari hiyo?


3. Kwa kuwa Qur'an inasema kuwa Muhammad alipaa mbinguni hadi mbingu ya saba na akakaribia Allah, lakini haijasema alimuona Allah, je, vipi unajibu madai kwamba Muhammad alimuona Allah mwenyewe katika safari ya Miraj, huku wanazuoni wa Kiislamu kama Ibn Abbas na Imam Nawawi wanasema kuwa hakumwona Allah?
kwani haiwezekani kuwepo msikiti wa muda!.?
muhammad alikwenda mpaka mbingu ya saba kule kabisa mungu alipo.hakuna sehemu niliyosema alimuona.ila kuongea nae.kitu ambacho hata nabii mussa alikuwa anafanya.nabii musa alikuwa anaongea na mungu kwa nini muhammad ashindwe na alikuwa mtume wa mwisho?
 
Muhammad (ﷺ) sio muasisisi wa Uislamu muasisi wa Uislamu ni Allaah aliyetukuka ambaye ni Mola mlezi wa ulimwengu wote muumba mbingu na Ardhi na vyote vilivyoma , na akatumaa Manabii na Mitume kuanzia Adam , Nuh , Ibrahim , Suleyman , Daudi , Musa , Yusuph , Zakaria , Isa na wengine (Peace be upon all of them) kufikisha ujumbe wake na kufundishia dini yake ya Uislamu ambayo maana yake ni Kujisalimisha kwa Allaah (Mola mlezi muumba ) kwa kutofanya ushirikina na Kulazimiana na Amri zake .

Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu tokea kale sababu Manabii na Mitume wote walitumwa kulingania Uislamu hakuna alimarishwa aabudiwe Yeye binafsi , Sanamu au kingine pasipo kuwa na Mwenyezi Mungu pamoja na kuamrisha maovu bali Msingi waliokuja nao ni kumuabudu Allaah peke yake pasi na kutomshirikisha na kuepuka uovu na waovu. na hiyo ndio Ilikuwa dini ya Mitume wote amabayo ni Uislamu ila baadhi ya Sheria na maamirisho yalikuwa tofauti kutokana za zama pasi na kubadilika msingi mkuu ambao ni Tawheed kama nilivyoleleza juu.

Kama kulikuwepo hekalu la Nabii Selemani (Peace be upon him ) na tokea enzi palikuwa sehemu ya ibada kwa ajili ya Allaah pasi huo ni msikitini na pa. Waislamu na msikitini sio lazima pawepo majengo kama ya Sasa hata pakiwa kiwanja tupu pata hesabika ni Msikiti .
Umedanganywa haya na nani
 
Itakuwa alisimuliwa habari za Ufunuo wa Yohana akaamua kui-customize kaja na version yake! Bahati mbaya script makosa kibao.
Muhammad alikuwa muongo muongo sana
 
kwani haiwezekani kuwepo msikiti wa muda!.?
muhammad alikwenda mpaka mbingu ya saba kule kabisa mungu alipo.hakuna sehemu niliyosema alimuona.ila kuongea nae.kitu ambacho hata nabii mussa alikuwa anafanya.nabii musa alikuwa anaongea na mungu kwa nini muhammad ashindwe na alikuwa mtume wa mwisho?
Muhammad ni nabii wa uongo ,usimuweke daraja moja na Musa

Muhammad hajawahi kutabiliwa popote , Muhammad ni sawa na mwamposa au mwingira

Hakuna uthibitisho wa kihistoria kwamba msikiti wa Al-Aqsa ulikuwepo wakati wa Israa na Miraj. Msikiti huo ulijengwa miaka 70 baada ya kifo cha Muhammad.
 
Muhammad ni nabii wa uongo ,usimuweke daraja moja na Musa

Muhammad hajawahi kutabiliwa popote , Muhammad ni sawa na mwamposa au mwingira

Hakuna uthibitisho wa kihistoria kwamba msikiti wa Al-Aqsa ulikuwepo wakati wa Israa na Miraj. Msikiti huo ulijengwa miaka 70 baada ya kifo cha Muhammad.
huo msikiti ulikuwepo kabla ya muhammad kuwepo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250407-202159.png
    Screenshot_20250407-202159.png
    135.3 KB · Views: 17
  • Screenshot_20250407-200155.png
    Screenshot_20250407-200155.png
    96 KB · Views: 16
Muhammad (ﷺ) sio muasisisi wa Uislamu muasisi wa Uislamu ni Allaah aliyetukuka ambaye ni Mola mlezi wa ulimwengu wote muumba mbingu na Ardhi na vyote vilivyoma , na akatumaa Manabii na Mitume kuanzia Adam , Nuh , Ibrahim , Suleyman , Daudi , Musa , Yusuph , Zakaria , Isa na wengine (Peace be upon all of them) kufikisha ujumbe wake na kufundishia dini yake ya Uislamu ambayo maana yake ni Kujisalimisha kwa Allaah (Mola mlezi muumba ) kwa kutofanya ushirikina na Kulazimiana na Amri zake .

Uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu tokea kale sababu Manabii na Mitume wote walitumwa kulingania Uislamu hakuna alimarishwa aabudiwe Yeye binafsi , Sanamu au kingine pasipo kuwa na Mwenyezi Mungu pamoja na kuamrisha maovu bali Msingi waliokuja nao ni kumuabudu Allaah peke yake pasi na kutomshirikisha na kuepuka uovu na waovu. na hiyo ndio Ilikuwa dini ya Mitume wote amabayo ni Uislamu ila baadhi ya Sheria na maamirisho yalikuwa tofauti kutokana za zama pasi na kubadilika msingi mkuu ambao ni Tawheed kama nilivyoleleza juu.

Kama kulikuwepo hekalu la Nabii Selemani (Peace be upon him ) na tokea enzi palikuwa sehemu ya ibada kwa ajili ya Allaah pasi huo ni msikitini na pa. Waislamu na msikitini sio lazima pawepo majengo kama ya Sasa hata pakiwa kiwanja tupu pata hesabika ni Msikiti .
Hao waislamu waliokuwa kabla ya Muhammad walikuwa wanatumia kitabu gani? Walikuwa wanamwabudu ALLAH au YEHOVA? Au Allah jina lingine ndo Yehova?
 
sasa wewe endelea kuamini hicho unachoamini .
Unaamini story zimekuja miaka mingi Muhammad alishazikwa na kaoza?

Muhammad amekufa hata msikiti wa Al alqsa haujajengwa
 
Unaamini story zimekuja miaka mingi Muhammad alishazikwa na kaoza?

Muhammad amekufa hata msikiti wa Al alqsa haujajengwa
nimekupa aya ya quran 17:1 hauelewi nini?
 

Attachments

  • Screenshot_20250407-200155.png
    Screenshot_20250407-200155.png
    96 KB · Views: 17
View attachment 3295084
Katika uchunguzi wa kihistoria usioegemea upande wa kidini, hoja ya kwamba Muhammad muasisi wa Uislamu aliwahi kufika Yerusalemu kwa safari ya kawaida haina ushahidi wowote wa kihistoria. Hakuna rekodi ya kihistoria ya safari ya mwili iliyomfikisha Muhammad katika mji wa Yerusalemu, tofauti na dai lake la kimiujiza alilolieleza kama “Isra na Miraj,” ambalo kwa mujibu wa simulizi, lilifanyika usiku akiwa mjini Makka.

Tukio hili linatajwa kuwa lilitokea katika ndoto au hali ya kimiujiza (visionary experience) ambapo Muhammad anadaiwa kupelekwa kutoka Makka hadi msikiti wa mbali (Al-Aqsa) na kisha kupandishwa mbinguni. Hata hivyo, tukio hili halina ushahidi wa kihistoria wala wa kimazingira, na zaidi linaelezewa katika maandiko ya kidini, si vyanzo vya kihistoria huru.

Hii ni ajabu mtu ku claim mji Fulani kwa kuota tu , yaani wewe Leo uote mkoa Fulani eneo Fulani ni lako , ndio alichofanya Muhammad

Kiongozi wa kwanza wa Kiislamu kufika Yerusalemu kihalisi alikuwa ni Khalifa Umar ibn al-Khattab, aliyefika mnamo mwaka 638 AD, baada ya mji huo kutekwa na Waislamu kutoka kwa Warumi wa Mashariki (Byzantines).

Tofauti na imani za baadhi ya watu kwamba palikuwapo Msikiti wa Al-Aqsa wakati huo, Umar alipofika Yerusalemu alikuta hakuna msikiti kabisa — bali eneo tupu, lililokuwa ni kiwanja cha zamani cha Hekalu la Suleiman (Solomon's Temple), ambalo lilikuwa limebomolewa na Jemedari Tito wa Roma mwaka 70 AD wakati wa uasi wa Wayahudi dhidi ya dola ya Roma.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria (ikiwemo taarifa kutoka kwa mwanahistoria wa Kiislamu al-Tabari), myahudi mmoja aliyeitwa Ka'ab al-Ahbar, aliyekuwa amesilimu, ndiye aliyemwonesha Umar mahali pa kale palipokuwa Hekalu la Suleiman. Ka’ab aliamini kuwa eneo hilo lina umuhimu wa kiroho, na kwa ushauri wake, Umar alisafisha eneo hilo la taka na uchafu, akalifanya kuwa eneo la kusali.

Msikiti wa Al-Aqsa ambao unaonekana leo haukuwepo wakati wa Umar. Msikiti wa kwanza wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi na Khalifa Abdul Malik ibn Marwan, kiongozi wa Umakiyya (Umayyad Dynasty), kati ya mwaka 688 na 691 AD. Abdul Malik ndiye aliyesimamia pia ujenzi wa Dome of the Rock (Qubbat As-Sakhra) kwenye kile kile kiwanja cha Hekalu la zamani. Lengo la ujenzi huu lilikuwa sehemu ya juhudi za kisiasa na kiimani kuimarisha mamlaka ya Waislamu na kuzuia Waislamu kwenda Makka, iliyokuwa chini ya wapinzani wake wakati huo.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa historia ya dunia, hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba Muhammad aliwahi kufika Yerusalemu kimwili. Dai lake la kufika huko lilikuwa katika ndoto au safari ya kiroho, na wakati huo hakuna msikiti wowote uliokuwepo pale. Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa zaidi ya miaka 50 baada ya kifo cha Muhammad, juu ya kiwanja cha hekalu la Kiyahudi kilichobomolewa karne nyingi kabla.

Hii inatoa picha halisi ya muktadha wa kihistoria unaozunguka Yerusalemu, Uislamu wa awali, na mabadiliko ya kisiasa na kiimani yaliyofuata katika karne za awali za historia ya Kiislamu.

Uislamu ukiusoma nje ya vyanzo vya waarabu huwezi kubaki kuwa muislamu tena

Ndio maana kuna limitations nyingi kwenye uislamu ili wasisome elimu mbadala maana huko dini imewekwa uchi na historia,akeolojia n.k
Kwani wapi pameandikwa Muhammad (S.AW) alifika Yerusalem physically mchana kweupe?
Suala la Muhammad kufika Yerusalem ni suala la kiimani kama ambavyo mtu anaamini Quran aliletewa Muhammad. Kwahiyo anayeamini na aamini na asiyeamini, aendelee hivyo hivyo.

Mbona mtu mwenye fikra chanya akiusoma ukristo humo humo kwenye vyanzo vya kikristo haendelei kuwa mkristo? We unajua hilo?

Wewe fanya mambo yako, endelea kuamini unachoamini. We si unaamini Mungu alijizalisha kwa Mariam, akawa mtoto Yesu akatahiriwa govi lake. Kisha akabatizwa.....akapotea kwa miaka kadhaa.....akarudi akaanza kuhubiri injili. Wakamkamata wakamsulubu sana mpaka kifo, waliomsulubu ni viumbe wake mwenyewe. Kisha pale msalabani akajisemea Mungu wangu mbona unaniacha? Sijui alikua anamuambia Mungu gani? Kwanini asiseme baba yangu mbona unaniacha? Kwani yeye alikua hajui yeye ni mungu mtoto (mwana)?

Na hakuwa japo mmoja kati ya waliokuandikia uongo huu Mathayo, Luka na Petro ni kati ya wanafunzi wake. Mnasema walipata kutoka katika vyanzo vya kuaminika, who? Which sources?

Hakuna hata ushahidi wa uongo kuwa Luka, Mathayo na Peter waliandika hizo zinazoitwa injili zao. How comes the books are attributed to them?

The bible and Christianity are day light lies and spiritual robbery.

Ni umasikini unaokusumbua unapata na muda wa kuongelea vibaya dini zingine. Tafuta hela bwana mdogo ubadilishe maisha yako. Those who brought you christianity wanted just to manage you intellectually, nothing much, nothing less. Wakakuletea dini huku wanakutawala kwa mabavu na kukufanya mtumwa, je, watu hawa walikua na dini nzuri?

Vitangulizi vya ukoloni ni pamoja na Wamisionari......je hawa walikua watu wema? Qmamae hamna jema hapo. Amka usingizini.

Sasa acha kuwaongelea vibaya waislam. Dini yako si kamili, ni uongo pia.

Mind your business.
 
Unaleta Quran ambayo imeandikwa mudi kahakufa ?
🤣🤣🤣.wewe wa kuonewa huruma.
quran yote imeshushwa kwa sura,aya muhammad mwenyewe akiwa HAI.baada ya kufa maswahaba waliogopa wale waliohifadhi quran na wao kufa ndo wakaamua kuiweka kwenye mfumo wa kitabu.
 
Unaleta porojo ,

Msikiti wa Al-Aqsa Hadi Mwaka 621 BK hakukuwepo, kwa sura tunayoijua leo.

Mahali patakatifu pa Wayahudi (Mount Temple) palikuwa pamebomolewa na Warumi mwaka 70 BK.

Palikuwa ni eneo tupu linaloitwa "Temple Mount", Wayahudi waliamini ni mahali pa Hekalu la Suleiman.

Haram al-Sharif (Al-Aqsa) ilijengwa baada ya miaka 70-80 ya kifo cha Muhammad, yaani kati ya mwaka 691–705 BK, na Khalifa Abdul Malik bin Marwan wa Bani Umayyah.

Nilitegemea Ulete idadi ya milango na madirisha aliyosema Muhammad,ila hujaleta

Katika hadith ya Anas bin Malik ,mudi anasema



UKITAKA KUJUA HUYU MUDI NI TAPELI,..
Alikuwa anaeleza muundo wa kitu ambacho hakikuwepo, ambacho alikiona kwenye taswira ya kiroho au mauzauza tu
Sasa kwanini sisi tuamini historia yako wewe? Hiyo source yako ni authentic kiasi gani?
 
View attachment 3295084
Katika uchunguzi wa kihistoria usioegemea upande wa kidini, hoja ya kwamba Muhammad muasisi wa Uislamu aliwahi kufika Yerusalemu kwa safari ya kawaida haina ushahidi wowote wa kihistoria. Hakuna rekodi ya kihistoria ya safari ya mwili iliyomfikisha Muhammad katika mji wa Yerusalemu, tofauti na dai lake la kimiujiza alilolieleza kama “Isra na Miraj,” ambalo kwa mujibu wa simulizi, lilifanyika usiku akiwa mjini Makka.

Tukio hili linatajwa kuwa lilitokea katika ndoto au hali ya kimiujiza (visionary experience) ambapo Muhammad anadaiwa kupelekwa kutoka Makka hadi msikiti wa mbali (Al-Aqsa) na kisha kupandishwa mbinguni. Hata hivyo, tukio hili halina ushahidi wa kihistoria wala wa kimazingira, na zaidi linaelezewa katika maandiko ya kidini, si vyanzo vya kihistoria huru.

Hii ni ajabu mtu ku claim mji Fulani kwa kuota tu , yaani wewe Leo uote mkoa Fulani eneo Fulani ni lako , ndio alichofanya Muhammad

Kiongozi wa kwanza wa Kiislamu kufika Yerusalemu kihalisi alikuwa ni Khalifa Umar ibn al-Khattab, aliyefika mnamo mwaka 638 AD, baada ya mji huo kutekwa na Waislamu kutoka kwa Warumi wa Mashariki (Byzantines).

Tofauti na imani za baadhi ya watu kwamba palikuwapo Msikiti wa Al-Aqsa wakati huo, Umar alipofika Yerusalemu alikuta hakuna msikiti kabisa — bali eneo tupu, lililokuwa ni kiwanja cha zamani cha Hekalu la Suleiman (Solomon's Temple), ambalo lilikuwa limebomolewa na Jemedari Tito wa Roma mwaka 70 AD wakati wa uasi wa Wayahudi dhidi ya dola ya Roma.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria (ikiwemo taarifa kutoka kwa mwanahistoria wa Kiislamu al-Tabari), myahudi mmoja aliyeitwa Ka'ab al-Ahbar, aliyekuwa amesilimu, ndiye aliyemwonesha Umar mahali pa kale palipokuwa Hekalu la Suleiman. Ka’ab aliamini kuwa eneo hilo lina umuhimu wa kiroho, na kwa ushauri wake, Umar alisafisha eneo hilo la taka na uchafu, akalifanya kuwa eneo la kusali.

Msikiti wa Al-Aqsa ambao unaonekana leo haukuwepo wakati wa Umar. Msikiti wa kwanza wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi na Khalifa Abdul Malik ibn Marwan, kiongozi wa Umakiyya (Umayyad Dynasty), kati ya mwaka 688 na 691 AD. Abdul Malik ndiye aliyesimamia pia ujenzi wa Dome of the Rock (Qubbat As-Sakhra) kwenye kile kile kiwanja cha Hekalu la zamani. Lengo la ujenzi huu lilikuwa sehemu ya juhudi za kisiasa na kiimani kuimarisha mamlaka ya Waislamu na kuzuia Waislamu kwenda Makka, iliyokuwa chini ya wapinzani wake wakati huo.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa historia ya dunia, hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba Muhammad aliwahi kufika Yerusalemu kimwili. Dai lake la kufika huko lilikuwa katika ndoto au safari ya kiroho, na wakati huo hakuna msikiti wowote uliokuwepo pale. Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa zaidi ya miaka 50 baada ya kifo cha Muhammad, juu ya kiwanja cha hekalu la Kiyahudi kilichobomolewa karne nyingi kabla.

Hii inatoa picha halisi ya muktadha wa kihistoria unaozunguka Yerusalemu, Uislamu wa awali, na mabadiliko ya kisiasa na kiimani yaliyofuata katika karne za awali za historia ya Kiislamu.

Uislamu ukiusoma nje ya vyanzo vya waarabu huwezi kubaki kuwa muislamu tena

Ndio maana kuna limitations nyingi kwenye uislamu ili wasisome elimu mbadala maana huko dini imewekwa uchi na historia,akeolojia n.k
Kosa kubwa la waislamu au waarabu wameingiza mambo mengi kwenye Dini kupitia Hadithi.
Quran inaitambua vitabu vya Torati(Musa), Zaburi(DAUD) na Injili(Issa).
Waarabu wameviweka pembeni vitabu vyote hivyo vilivyotajwa kwenye Quran wao wakatunga kitu kinachoitwa Hadithi Tena miaka MINGI baada ya mtume kufariki.
Sasa hivi Uislamu unaongozwa na
1. Quran
2. Hadithi
3. Sunna.
Hakuna Torati Wala Zaburi au Injili
 
View attachment 3295084
Katika uchunguzi wa kihistoria usioegemea upande wa kidini, hoja ya kwamba Muhammad muasisi wa Uislamu aliwahi kufika Yerusalemu kwa safari ya kawaida haina ushahidi wowote wa kihistoria. Hakuna rekodi ya kihistoria ya safari ya mwili iliyomfikisha Muhammad katika mji wa Yerusalemu, tofauti na dai lake la kimiujiza alilolieleza kama “Isra na Miraj,” ambalo kwa mujibu wa simulizi, lilifanyika usiku akiwa mjini Makka.

Tukio hili linatajwa kuwa lilitokea katika ndoto au hali ya kimiujiza (visionary experience) ambapo Muhammad anadaiwa kupelekwa kutoka Makka hadi msikiti wa mbali (Al-Aqsa) na kisha kupandishwa mbinguni. Hata hivyo, tukio hili halina ushahidi wa kihistoria wala wa kimazingira, na zaidi linaelezewa katika maandiko ya kidini, si vyanzo vya kihistoria huru.

Hii ni ajabu mtu ku claim mji Fulani kwa kuota tu , yaani wewe Leo uote mkoa Fulani eneo Fulani ni lako , ndio alichofanya Muhammad

Kiongozi wa kwanza wa Kiislamu kufika Yerusalemu kihalisi alikuwa ni Khalifa Umar ibn al-Khattab, aliyefika mnamo mwaka 638 AD, baada ya mji huo kutekwa na Waislamu kutoka kwa Warumi wa Mashariki (Byzantines).

Tofauti na imani za baadhi ya watu kwamba palikuwapo Msikiti wa Al-Aqsa wakati huo, Umar alipofika Yerusalemu alikuta hakuna msikiti kabisa — bali eneo tupu, lililokuwa ni kiwanja cha zamani cha Hekalu la Suleiman (Solomon's Temple), ambalo lilikuwa limebomolewa na Jemedari Tito wa Roma mwaka 70 AD wakati wa uasi wa Wayahudi dhidi ya dola ya Roma.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria (ikiwemo taarifa kutoka kwa mwanahistoria wa Kiislamu al-Tabari), myahudi mmoja aliyeitwa Ka'ab al-Ahbar, aliyekuwa amesilimu, ndiye aliyemwonesha Umar mahali pa kale palipokuwa Hekalu la Suleiman. Ka’ab aliamini kuwa eneo hilo lina umuhimu wa kiroho, na kwa ushauri wake, Umar alisafisha eneo hilo la taka na uchafu, akalifanya kuwa eneo la kusali.

Msikiti wa Al-Aqsa ambao unaonekana leo haukuwepo wakati wa Umar. Msikiti wa kwanza wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi na Khalifa Abdul Malik ibn Marwan, kiongozi wa Umakiyya (Umayyad Dynasty), kati ya mwaka 688 na 691 AD. Abdul Malik ndiye aliyesimamia pia ujenzi wa Dome of the Rock (Qubbat As-Sakhra) kwenye kile kile kiwanja cha Hekalu la zamani. Lengo la ujenzi huu lilikuwa sehemu ya juhudi za kisiasa na kiimani kuimarisha mamlaka ya Waislamu na kuzuia Waislamu kwenda Makka, iliyokuwa chini ya wapinzani wake wakati huo.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa historia ya dunia, hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba Muhammad aliwahi kufika Yerusalemu kimwili. Dai lake la kufika huko lilikuwa katika ndoto au safari ya kiroho, na wakati huo hakuna msikiti wowote uliokuwepo pale. Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa zaidi ya miaka 50 baada ya kifo cha Muhammad, juu ya kiwanja cha hekalu la Kiyahudi kilichobomolewa karne nyingi kabla.

Hii inatoa picha halisi ya muktadha wa kihistoria unaozunguka Yerusalemu, Uislamu wa awali, na mabadiliko ya kisiasa na kiimani yaliyofuata katika karne za awali za historia ya Kiislamu.

Uislamu ukiusoma nje ya vyanzo vya waarabu huwezi kubaki kuwa muislamu tena

Ndio maana kuna limitations nyingi kwenye uislamu ili wasisome elimu mbadala maana huko dini imewekwa uchi na historia,akeolojia n.k
Kosa kubwa la waislamu au waarabu wameingiza mambo mengi kwenye Dini kupitia Hadithi.
Quran inaitambua vitabu vya Torati(Musa), Zaburi(DAUD) na Injili(Issa).
Waarabu wameviweka pembeni vitabu vyote hivyo vilivyotajwa kwenye Quran wao wakatunga kitu kinachoitwa Hadithi Tena miaka MINGI baada ya mtume kufariki.
Sasa hivi Uislamu unaongozwa na
1. Quran
2. Hadithi
3. Sunna.
Hakuna Torati Wala Zaburi au Injili
Quran 10:94
Ewe Muhammad ukiwa na mashaka yeyote kuhusu tuliyokufunulia basi waulize watu waliopewa kitabu kabla yako.
 
Sasa kwanini sisi tuamini historia yako wewe? Hiyo source yako ni authentic kiasi gani?
Hiyo historia ipo kabla hata ya Uislamu,na baada ya Uislamu,yaani ipo hivo ,kaulize popote,
 
🤣🤣🤣.wewe wa kuonewa huruma.
quran yote imeshushwa kwa sura,aya muhammad mwenyewe akiwa HAI.baada ya kufa maswahaba waliogopa wale waliohifadhi quran na wao kufa ndo wakaamua kuiweka kwenye mfumo wa kitabu.
Quran imejaa uongo mwingi ,ukitaka kufunguka akili iweke kwenye mizania ya nje ya vitabu vingine
 
Back
Top Bottom