Muhammad hakuwahi kufika Yerusalemu

Muhammad hakuwahi kufika Yerusalemu

Kwanza Quran inadanganya mengi sana kuhusu Mfalme Suleiman,kwanza Suleiman hakufuga majini na pili hakuwa na mambo ya kutenda kama mini au uchawi!
Quran inatunga visa kwa kufuata Yorati na Biblia na kuongeza uongo mwingi!

Wakati wewe unasema Mtume amedanganya kuhusu nabii Suleiman na majini yake
Kuna mgalatia mwenzako humu ameweka Uzi kuwa Mtume Muhammad hi habari alikopi katika vitabu vya zamani
Habari nyingi za ndani ya Quran zipo katika vitabu vya APOKRIFA
Vitabu vya APOKRIFA walioanzisha ukristo wamevificha Ili nyinyi mizukule Yao msivione

Ni Uzi wa mgalatia mwenzako upo humu JF unaitwa (Mtume amepoteza wengi) utafute uusome

Mimi nakuwekea hiki kipande kidogo tu Cha huo Uzi

Yani Sasa hivi tunakuacheni wagalatia mfundishane wenyewe

Licha ya kutokubaliwa kama maandiko rasmi ya kiimani, vitabu hivi vina hadithi nyingi zinazofanana na zile zilizomo katika Qur’an, ambayo iliteremshwa karne kadhaa baadaye. Zifuatazo ni hadithi 20 zilizopo katika Qur’an na zinapatikana pia katika vitabu vya Apokrifa, pamoja na mwaka wa kushuka kwa Aya za Qur’an na mwaka wa uandishi wa vitabu vya Apokrifa.

Hadithi ya Mtume Suleiman (Solomon) na majini
Qur’an: Surah An-Naml (27:17-19) – Iliteremka takriban mwaka 616 CE
Apokrifa: Testament of Solomon (karne ya 1-3 CE, takriban mwaka 100-300 CE)
 
Hiyo historia ipo kabla hata ya Uislamu,na baada ya Uislamu,yaani ipo hivo ,kaulize popote,
Wewe, aliyeandika historia ndiye anaamua akuandikie nini? Ukweli au uongo anaamua yeye, ni chombo gani kinathibitisha UKWELI?
 
Quran imejaa uongo mwingi ,ukitaka kufunguka akili iweke kwenye mizania ya nje ya vitabu vingine
aya zishushwe kutoka kwa Mungu mwenyewe kupitia malaika jibril ziende kwa muhammad ziwe za uongo?🤣🤣🤣.yaani weww mtoto wa juzi uje kui kosoa quran?
 
aya zishushwe kutoka kwa Mungu mwenyewe kupitia malaika jibril ziende kwa muhammad ziwe za uongo?🤣🤣🤣.yaani weww mtoto wa juzi uje kui kosoa quran?
Unamaanisha aliyemtokea Muhammad pangoni akampiga makofi na aliporudi wa Bi Hadja akamwambia nahisi nafsi yangu kuchezewa na Mashetani! Bi Hadja akamtabiria!
Muhammad mwenyewe hakumjua alomtokea pangoni ni nani! Leo wewe umeshiba urojo unasema Aya zimetoka kwa Jibril!
Ungetambua ya kuwa alomtokea no Shetanii (Allah) ili kumpa mafundisho ya uongo usingebaki huko kwenye dini yako ya Muhammad na Allah(Shetani)
 
Unamaanisha aliyemtokea Muhammad pangoni akampiga makofi na aliporudi wa Bi Hadja akamwambia nahisi nafsi yangu kuchezewa na Mashetani! Bi Hadja akamtabiria!
Muhammad mwenyewe hakumjua alomtokea pangoni ni nani! Leo wewe umeshiba urojo unasema Aya zimetoka kwa Jibril!
Ungetambua ya kuwa alomtokea no Shetanii (Allah) ili kumpa mafundisho ya uongo usingebaki huko kwenye dini yako ya Muhammad na Allah(Shetani)
unajua Mungu kwa kiarabu anaitwaje?
ushawahi kuona biblia ya kiarabu?
 
unajua Mungu kwa kiarabu anaitwaje?
ushawahi kuona biblia ya kiarabu?
Mungu ni neno pana sana ndo maana miungu iko mingi!
Ila Mungu muumba na muweza wa yote sio Allah(shetani)
Funguka kwenye Uislam hata Muhammad aliambiwa ushindwa jambo waulize waliopewa kitabu kwa maana wenye Torati na Injili!
Uislam na uongo ni pete na kidole ndo maana ina hadithi za Yesu wa uongo kwa maana ya Issa,Hadithi ya Mfaume Suleiman yenye uongo wa kufuga majini ili kutafuta uhalali wa kujumuisha majini katika dini yenu,Uongo katika hadithi ya Mfaume Daudi nk!
 
Mungu ni neno pana sana ndo maana miungu iko mingi!
Ila Mungu muumba na muweza wa yote sio Allah(shetani)
Funguka kwenye Uislam hata Muhammad aliambiwa ushindwa jambo waulize waliopewa kitabu kwa maana wenye Torati na Injili!
Uislam na uongo ni pete na kidole ndo maana ina hadithi za Yesu wa uongo kwa maana ya Issa,Hadithi ya Mfaume Suleiman yenye uongo wa kufuga majini ili kutafuta uhalali wa kujumuisha majini katika dini yenu,Uongo katika hadithi ya Mfaume Daudi nk!
nimekuuliza swali dogo maelezo kibao.
mungu kwa kiarabu anaitwaje?
au wakristo wa kiarabu wanamuitaje mungu?
 
Unamaanisha aliyemtokea Muhammad pangoni akampiga makofi na aliporudi wa Bi Hadja akamwambia nahisi nafsi yangu kuchezewa na Mashetani! Bi Hadja akamtabiria!
Muhammad mwenyewe hakumjua alomtokea pangoni ni nani! Leo wewe umeshiba urojo unasema Aya zimetoka kwa Jibril!
Ungetambua ya kuwa alomtokea no Shetanii (Allah) ili kumpa mafundisho ya uongo usingebaki huko kwenye dini yako ya Muhammad na Allah(Shetani)
Malaika jibril aliendelea kuja Kwa mtume Muhammad Kwa muda wa miaka 23

Sasa sijui Huwa mnadanganyana kuwa alimtokea mara Moja tu pangoni

Muhammad ndio mtume alijiwa na malaika jibril mara nyingi kuliko mitumie yote
 
View attachment 3295084
Katika uchunguzi wa kihistoria usioegemea upande wa kidini, hoja ya kwamba Muhammad muasisi wa Uislamu aliwahi kufika Yerusalemu kwa safari ya kawaida haina ushahidi wowote wa kihistoria. Hakuna rekodi ya kihistoria ya safari ya mwili iliyomfikisha Muhammad katika mji wa Yerusalemu, tofauti na dai lake la kimiujiza alilolieleza kama “Isra na Miraj,” ambalo kwa mujibu wa simulizi, lilifanyika usiku akiwa mjini Makka.

Tukio hili linatajwa kuwa lilitokea katika ndoto au hali ya kimiujiza (visionary experience) ambapo Muhammad anadaiwa kupelekwa kutoka Makka hadi msikiti wa mbali (Al-Aqsa) na kisha kupandishwa mbinguni. Hata hivyo, tukio hili halina ushahidi wa kihistoria wala wa kimazingira, na zaidi linaelezewa katika maandiko ya kidini, si vyanzo vya kihistoria huru.

Hii ni ajabu mtu ku claim mji Fulani kwa kuota tu , yaani wewe Leo uote mkoa Fulani eneo Fulani ni lako , ndio alichofanya Muhammad

Kiongozi wa kwanza wa Kiislamu kufika Yerusalemu kihalisi alikuwa ni Khalifa Umar ibn al-Khattab, aliyefika mnamo mwaka 638 AD, baada ya mji huo kutekwa na Waislamu kutoka kwa Warumi wa Mashariki (Byzantines).

Tofauti na imani za baadhi ya watu kwamba palikuwapo Msikiti wa Al-Aqsa wakati huo, Umar alipofika Yerusalemu alikuta hakuna msikiti kabisa — bali eneo tupu, lililokuwa ni kiwanja cha zamani cha Hekalu la Suleiman (Solomon's Temple), ambalo lilikuwa limebomolewa na Jemedari Tito wa Roma mwaka 70 AD wakati wa uasi wa Wayahudi dhidi ya dola ya Roma.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kihistoria (ikiwemo taarifa kutoka kwa mwanahistoria wa Kiislamu al-Tabari), myahudi mmoja aliyeitwa Ka'ab al-Ahbar, aliyekuwa amesilimu, ndiye aliyemwonesha Umar mahali pa kale palipokuwa Hekalu la Suleiman. Ka’ab aliamini kuwa eneo hilo lina umuhimu wa kiroho, na kwa ushauri wake, Umar alisafisha eneo hilo la taka na uchafu, akalifanya kuwa eneo la kusali.

Msikiti wa Al-Aqsa ambao unaonekana leo haukuwepo wakati wa Umar. Msikiti wa kwanza wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi na Khalifa Abdul Malik ibn Marwan, kiongozi wa Umakiyya (Umayyad Dynasty), kati ya mwaka 688 na 691 AD. Abdul Malik ndiye aliyesimamia pia ujenzi wa Dome of the Rock (Qubbat As-Sakhra) kwenye kile kile kiwanja cha Hekalu la zamani. Lengo la ujenzi huu lilikuwa sehemu ya juhudi za kisiasa na kiimani kuimarisha mamlaka ya Waislamu na kuzuia Waislamu kwenda Makka, iliyokuwa chini ya wapinzani wake wakati huo.

Kwa hivyo, kwa mujibu wa historia ya dunia, hakuna ushahidi wa kihistoria kwamba Muhammad aliwahi kufika Yerusalemu kimwili. Dai lake la kufika huko lilikuwa katika ndoto au safari ya kiroho, na wakati huo hakuna msikiti wowote uliokuwepo pale. Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa zaidi ya miaka 50 baada ya kifo cha Muhammad, juu ya kiwanja cha hekalu la Kiyahudi kilichobomolewa karne nyingi kabla.

Hii inatoa picha halisi ya muktadha wa kihistoria unaozunguka Yerusalemu, Uislamu wa awali, na mabadiliko ya kisiasa na kiimani yaliyofuata katika karne za awali za historia ya Kiislamu.

Uislamu ukiusoma nje ya vyanzo vya waarabu huwezi kubaki kuwa muislamu tena

Ndio maana kuna limitations nyingi kwenye uislamu ili wasisome elimu mbadala maana huko dini imewekwa uchi na historia,akeolojia n.k


Alisikia sikia tu habari za kuhusu Yerusalem akadandia
 
Hawa jamaa hata wakithibitisha Mtume kawatapeli Bado wanashikilia kusema alisema kweli:
Sijui wanakula maharagwe ya wapi
 
Back
Top Bottom