Mugabe ni noma

Mugabe ni noma

Mtanzanika

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
2,389
Reaction score
1,131
Mugabe na familia yake walitaka kwenda mapumziko kusherehekea ushindi wa uchaguzi uliofanyika hivi juzi.
Mugabe alitaka kwenda Dubai, Mke wake Grace na watoto wawili walitaka kwenda Bahamas.
Hivyo waliamua kupiga kura, matokea ya kura hizo yalikua kama ifuatavyo:
Bahamas: 3
Dubai: 68
 
Umenikumbusha ya Mh Memose Cheo,alipata kura moja kwenye kituo alichopigia kura miaka ya nyuma yeye na familia yake,akahoji "Yaani hata mke wangu hajanipigia kura?"
 
Back
Top Bottom